Hoja kwa WANAFUNZI wenzangu

Hoja kwa WANAFUNZI wenzangu

Kama we ni mwanafunzi wa chekechea umejaribu kuwaza,kama shule ya msingi bado jitahidi,kama secondary yaani umechemka,kama chuo basi muujiza unahitajika
 
Hivi vitoto vya sent jk vmeruhusiwaje kuingia humu jamvini? Vinatunyima uhuru
 
Najua wengi mtadhani mawazo yangu ni ya kimaskini wengine mtafikiri akili zangu ni fupi kama maisha ya funza lakina LA HASHA.....Lets my fellow students tuimagine, m2 akitaka kusoma daftari au kitabu anakiloweka/anakichemsha na maji kwenye jiko alafu anakunywa hayo MAJI!......nadhan hakuna mtu yoyote ambae angekua anafeli mtihani au Wadau mnasemaje?
Asanteni!
NAWASILISHA HOJA!

You are such a good student.,umeshatoa majibu hapo kwenye RED!
 
Back
Top Bottom