Ndio maana nahoji kama kweli aliwashirikisha wabunge wenzie katika kudraft mapendekezo. Ni lazima tukiri kuwa alifanya utafiti mzuri sana lakini tujue kuwa pale wapo katika mchezo wa siasa na sisi wote tupo katika mchezo wa siasa ndio maana tunajadili haya. kwa kuwa hoja hizi huwasilishwa mapema walikwishaikalia hoja ya Mhe Zitto na kumundalia mb unge atakayetumia Kanuni kuipiga knock technical out hoja yake.
kwa ufahamu wangu mambo yote aliyopendekeza Mhe Zitto ni ndoto za mchana kwa watendaji wa serikali ya CCM ambao hukaa kuvizia posho wakati wote.
Sababu ingine iliyofanya haja hiyo kutupwa ni kashafa zilizoko katika ubinafsishaji wa mashamba ya mkonge mojawapo likiwa shamba alilochukua CHAVDA aliyesababisha Mhe Lyatonga Mrema kuondolea katika baraza la mawaziri. Ndio maana Hoja hii ilitakiwa kukaliwa kweli kweli na kuandaliwa makakati wa pamoja kama chama.
Hoja zote mbili zimetupiliwa mbali kwa maelezo yenye sura mbili:
Moja, hoja hizi hazina umuhimu kwa sasa kwa sababu kuna ground work inayohitajika kufanyika kwanza, na baada ya hapo, ndipo hoja hizi mbili zitakuwa na mashiko.
Mbili, Serikali tayari imekuwa inafanyia kazi mambo mengi ambayo yamewasilishwa na Zitto na Jaruary. Kwa maana nyingine, masuala mengi ndani ya hoja hizo sio mageni kwa CCM na serikali yake kwani tayari yamekuwa yanafanyiwa kazi, mengi yalishajadiliwa na kutolewa maelezo na serikali bungeni katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita lakini vile vile mengi yalikuwepo hata kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM 2010.
Binafsi, naachwa na maswali matatu: JE
- Kuanguka kwa hoja hizi ni matokeo ya Zitto na January kutofanya home work yao vizuri?
- Au Kuanguka kwa hoja hizi ni matokeo ya siasa za bunge linalotawaliwa na CCM?
- Au hizi ni siasa za nyongeza za posho?
hoja ya makamba ni contradicting, wote twajua gharama za ujenzi zilivyo juu, na watu wengi hukopa ili kujenga, leo hii utamwambia nin mtu huyu eti kodi ni ya miezi 2 tu maximum...
Wamiliki wakubwa wa mashamba hayo ni watanzania wenye asili ya ki-asia.
ccm haina wabunge, ina watu mbumbumbu, mazoba, wasifikiri, watu legelege, wasiofaa, hakika ccm ni kielelezo cha watu duni na mamluki kwa taifa lao.
Naelewa hoja yako lakini kikubwa hapa ni kwamba tunaelekea bajeti ya 2012-2013, mimi nadhani Zitto angeitumia bajeti ijayo itakayowasilishwa bungeni mwezi June, kama reference wakati wote wa kujenga hoja yake, na hii ingeipa hoja yake nguvu kubwa zaidi - kwa kusema kwamba kutokana na umuhimu wa zao hili....ni matarajio yangu kwamba kuanzia bajeti ya mwaka huu wa fedha, wizara ya kilimo itafanya haya haya na haya kuhusu zao la mkonge;
Iwapo zitto angefanya hayo kwa kulink na bajeti ijayo, waziri angeingia tu mtego wa kutoa ahadi kemkem kwamba watafanya hili na lile kwenye bajeti, then zitto kumsibiria na bajeti yake na kuanza nae upya.
na kiwanda kilichokuwa Morogoro si hizi kimekuwa nini. Isije ikawa ni kituo cha Mabasi au bohari
The point is very clear,
linalowezekana leo lisingoje kesho. Its only february, bajeti mpya ni june kwa
ajili ya mwaka 2012/2013, sioni tatizo lolote kwenye hoja ya Zitto kama nia
ingekuwepo. Au kama Serikali ingehitaji kujipanga zaidi, marekebisho yangekuwa
kwenye mwaka tu... lakini tumeona haikuwa hivyo.
Nasikitika kukuambia mchambuzi huyo unayejaribu kumuelimisha ana ugonjwa wa
Zittophobiasis.
Mtamzamo wangu kuanguka kwa hizi hoja za hawa 'Boys II Men' ni salamu kutoka kwa wabunge wa ccm kwamba wasijione kama wao (Zitto na January) ni smarter kuliko wabunge wengine. Inawezekana wanahisi (hasa January) anakitumia chama chake cha ccm kujijenga yeye kisiasa baada ya chama kumfikisha hapo alipo. Whether kuna ukweli kwenye hili au la hayo ni mambo mengine lakini kwa sasa safari imeanza ya kufungana speed governor. CCM wanaweza kuwa na wakati mgumu kwa kutaa hizi hoja lakini wanaweza kuvuka kizingiti kama wakitoa sababu za msingi (kama wanazo).
Zitto naye amekuwa muumini mzuri wa hizi siasa za calculations. Huyu kijana is very smart lakini sina hakika kama approach aliyotumia siku hizi itamfikisha kwenye kiti cha enzi. Kwa kurudia maoni yangu niliyowahi toka huko nyuma naomba niseme, naridhika na Zitto wa Buzwagi era na ninasononeshwa na Zitto wa Blackberry.
Wadau kumbukeni mashamba yote ya mkonge yalishauzwa wa wawekezaji uchwara ambao wameshindwa kuyaendeleza. Na wengine ni viongozi ndani ya serikali. Hoja hii ingepita, ingeibua madhambi mengine yaliyojificha kwenye sekta ya kilimo cha mkonge.
.
siamin baba anaweza kataa neema kwa wanae ila leo baba amekataa maendeleo jimboni kwake kwa madai serikali haiko tayari ni kweli ama 'cake eaters' hawako tayari kulinda maslahi yao???Leo, hoja ya Zitto kuhusu mkakati maalum wa kufufua zao la mkonge na ile ya January kuhusu umuhimu kulinda wapangaji zinawasilishwa bungeni. Je zitapita? Kwa mtazamo wangu, kuna uwezekano mkubwa kwamba, pamoja na umuhimu wa hoja hizi mbili, hoja hizi zitakwama, sababu kubwa ikiwa ni hasira ya wabunge juu ya msimamo wa Zitto na January kupinga ongezeko la posho.
Hoja zote mbili zimetupiliwa mbali kwa maelezo yenye sura mbili:
Moja, hoja hizi hazina umuhimu kwa sasa kwa sababu kuna ground work inayohitajika kufanyika kwanza, na baada ya hapo, ndipo hoja hizi mbili zitakuwa na mashiko.
Mbili, Serikali tayari imekuwa inafanyia kazi mambo mengi ambayo yamewasilishwa na Zitto na Jaruary. Kwa maana nyingine, masuala mengi ndani ya hoja hizo sio mageni kwa CCM na serikali yake kwani tayari yamekuwa yanafanyiwa kazi, mengi yalishajadiliwa na kutolewa maelezo na serikali bungeni katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita lakini vile vile mengi yalikuwepo hata kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM 2010.
Binafsi, naachwa na maswali matatu: JE
- Kuanguka kwa hoja hizi ni matokeo ya Zitto na January kutofanya home work yao vizuri?
- Au Kuanguka kwa hoja hizi ni matokeo ya siasa za bunge linalotawaliwa na CCM?
- Au hizi ni siasa za nyongeza za posho?
Wabunge wa CCM wanaongozwa na ilani ya chama chao ambayo haiwezi kumletea mtanzania maendeleo na kumtoa mwananchi kwenye lindi la umaskini.
Wabunge wa ccm hawashindi kwa hoja bali kwa kutumia vibaya wingi wao wakisaidiwa na kinara wao Makinda. CDM endeleeni hivyo hivyo, sisi wananchi tunawasikia na kusikia na kuona hayo yanayotokea bungeni. MSIOGOPE KUPELEKA HOJA ETI HAZITAPITA. Ni kweli hazitapita, lakini kamailvyosema Mbowe jana; hoja zenu tutazipokea huku kwenye umma.Ndio maana nahoji kama kweli aliwashirikisha wabunge wenzie katika kudraft mapendekezo. Ni lazima tukiri kuwa alifanya utafiti mzuri sana lakini tujue kuwa pale wapo katika mchezo wa siasa na sisi wote tupo katika mchezo wa siasa ndio maana tunajadili haya. kwa kuwa hoja hizi huwasilishwa mapema walikwishaikalia hoja ya Mhe Zitto na kumundalia mb unge atakayetumia Kanuni kuipiga knock technical out hoja yake.
kwa ufahamu wangu mambo yote aliyopendekeza Mhe Zitto ni ndoto za mchana kwa watendaji wa serikali ya CCM ambao hukaa kuvizia posho wakati wote.
Sababu ingine iliyofanya haja hiyo kutupwa ni kashafa zilizoko katika ubinafsishaji wa mashamba ya mkonge mojawapo likiwa shamba alilochukua CHAVDA aliyesababisha Mhe Lyatonga Mrema kuondolea katika baraza la mawaziri. Ndio maana Hoja hii ilitakiwa kukaliwa kweli kweli na kuandaliwa makakati wa pamoja kama chama.
Kwa kuwa CCM ni chama kikongwe na ina machinery ya serikali nyuma yake ilitumia 2011 kuusoma uwezo wa wabunge wa CDM mmoja mmoja na inabuni mikakati ya kuwamaliza pole pole. Mfano halisi ni wakati wa kuhitimisha hoja ya katiba mwanasheria Mkuu wa Serikali alikuwa antumia maneno kwa uangalifu mkubwa kuonyesha kuwa Mhe Tundu Lissu sio mstaarabu na muungwana k.m "Mimi nimefunddishwa kumsikiza mtu akiongea" "Mimi sikufundishwa kumnyooshea mtu mwingine mkono" n.k.
Hizi ni baadhi ya strategies ambazo CDM inabidi iwe aware nazo. Na wabunge wake wanapotaka kupeleka hoja binafsi kama hizi lazima ziandaliwe mkakati maalum. Nafikiri pia timingi ya hoja binafisi ya Mhe Zitto haikuwa nzuri sana baada tu ya kuwachafua wanaopaswa kumuunga mkono kuhus posho n.k
siamin baba anaweza kataa neema kwa wanae ila leo baba amekataa maendeleo jimboni kwake kwa madai serikali haiko tayari ni kweli ama 'cake eaters' hawako tayari kulinda maslahi yao???
Shida kubwa waliyo nayo wabunge wengi wa Chukua Chako Mapema ni UVIVU WA KUFIKIRI. Hoja hizo zitakataliwa tu kwa sababu hakuna aliyejipanga kufikiri namna ya kuzichangia huko Mjengoni.
imwan
Wabunge wa ccm hawashindi kwa hoja bali kwa kutumia vibaya wingi wao wakisaidiwa na kinara wao Makinda. CDM endeleeni hivyo hivyo, sisi wananchi tunawasikia na kusikia na kuona hayo yanayotokea bungeni. MSIOGOPE KUPELEKA HOJA ETI HAZITAPITA. Ni kweli hazitapita, lakini kamailvyosema Mbowe jana; hoja zenu tutazipokea huku kwenye umma.
hoja ya makamba ni contradicting, wote twajua gharama za ujenzi zilivyo juu, na watu wengi hukopa ili kujenga, leo hii utamwambia nin mtu huyu eti kodi ni ya miezi 2 tu maximum...