Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 855
- 1,224
Uchaguzi ujao wa Oct, 2015 ni Uchaguzi mgumu katika historia ya CCM. Ugumu wake si tu kwa sababu ya kukosa mgombea mwadilifu, Si tu kwa sababu ya makundi ya Urais, si tu kwa sababu ya upinzani kuunganisha nguvu na kuwa kitu kimoja bali Ugumu hasa unatokana na historia ya Uchaguzi wa 2010 ambapo JK hakufikisha asilimia 60. Pia kuthibitika kwa taarifa kwamba JK hakushinda Uchaguzi wa 2010.
Pia kwa mkakati wa watawala Chadema haikutakiwa kufika 2015 au kama ingefika basi ni dhaifu zaidi. Ni historia chama cha upinzani kinashiriki chaguzi mbili huku kikiwa na nguvu zaidi.
Pia kwa mkakati wa watawala Chadema haikutakiwa kufika 2015 au kama ingefika basi ni dhaifu zaidi. Ni historia chama cha upinzani kinashiriki chaguzi mbili huku kikiwa na nguvu zaidi.