Fuata sheria hizi
1. Ukileta habari ya uongo itafutwa au utagewa ban.
2. Mambo ya pm ukileta hadharani ni ban, matusi pia ban.
3. Kuandika kwa kifupi kama uko facebook siyo kosa ila utatukera. Mfano Xaxa xory, ko, k, nko pk yang n.k.
4. Nakubatiza jina kuanzia leo utaitwa mkuu.
5. Kila mtu anapoingia hutakiwa kutuma picha, tuma picha yako.