No Paka Jimmy. By the way nimekuwa mfuatiliaji wa JF kwa muda mrefu sana
Pia nilijiunga J2 na hii picha nimeweka leo. Hivyo niliutumia muda huu vizuri kulifahamu jukwaa na mambo mengine mengi ikiwamo sheria zake, kuweka hizi picha (Avatar) na signature. Vilevile ni member wa blog ya FIFA kwa muda na kule pia kuna kuweka avatars
Kusoma tu ndo kumenipa wenyeji mkuu Paka Jimmy, so usitie shaka