Hodi Zanzibar

KAJOBO

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
408
Reaction score
350
Wasaalam wanajukwaa!

Nimeamua kwenda kujilipua Zanzibar hivyo kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu huu mji naomba uzoefu wake.

Kwa nini naenda Zanzibari? Jibu ni simple tu, naenda kutafuta maisha.

Nipeni uzoefu jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pako vizuri; bidii zako tu. Chochote utakachojihusisha nacho. Mie nmekaa sana huko, nlikuwa najishughurisha na kilimo. Pako vzur sna.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…