Hodi hodi wanajamii

KONYI

New Member
Joined
Aug 26, 2011
Posts
2
Reaction score
0
Hello.
Salamu zenu wote na wakubwa shikamoo. Naingia ukumbini nikiwa kamili na akili timamu ili kuleta busara na michango ya maendeleo. Naomba munikaribishe
 
Karibu sana mkuu.jione ni mwenye bahati ndani ya Tanganyika.
 
Karibu ukiwa na akili timamu,......................karibu pia ukiwa kamili,kumbuka pia kuwa mkono mtupu haulambwi,..........................,yawezekana ukafikiri una akili timamu kumbe sikweli,................ukafikiri uko kamili kumbe si hata robo hujafikia,..........la maana ni kuzingatia kanuni,.............................ukikaribisha ni vyema ukakaribia na kuitikia mwito,jifunze kushukuru....................karibu sana,huko utokapo hawajambo.........................,
 
Marhada. Karbu ww na mwl wako wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…