Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,168
- 4,334
- Thread starter
- #161
Hayaaaa subiri ruhusa
Hayaaaa subiri ruhusa
HAKUTAMBUI!
Nitafanya sawasawa na hiyo methali😊
Namshkuru muumbaji kwa kweli🙌
😄😄
Alaaaah eeehBasi, ondoa shaka siwezi kukudhuru.
Ntakufundisha..😉Sijui kucheza😊
Apo sasa utacheza mwenyewe 😁😁Ntakufundisha..😉
Asante..Karibu
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Asantee..
Nashkuru Mr....Hizi kama halakati za pimbi.karibu JF kama ulikuwa hunijui mimi ndio Mr ibu.kama kunakitu kinakutatiza njoo PM muda wowote.
😇UZI!!!
Hahahhaha nyangumi kitu gan bwana... Mbona anavuliwa tu na analiwa vzuriiii na tena alivyojaa minofu hahahahaha.Hayaaaa waambie mabaharia wako wamekutana na nyangumi![]()
Mambo ni mdogo mdogo, unaambiwa Kwenda pole hula nyama ,siku izi tunamalizia anakula nyama ya mapajaniHAKUTAMBUI!
Weee nichokoze tu ,hapa nikiamsha majeshi yangu, sijui utatokea wapi ,utajikuta upo uchi kitandani ,sio tu kitandani Bali kitandani kwanguHayaaaa subiri ruhusa
Nitafanya sawasawa na hiyo methali![]()