Hk On Sunday Na Mohamed Said: Buriani Maalim

Safi tunawasikiliza wazee wawili wenye historia nzuri ya Tanzania kiasi mmoja anauliza maswali kutokana na uzoefu wa kuona mambo muda mrefu na mwingine ni mwanaharakati-mwanahistoria wa siku nyingi.

Naamini ingekuwa ngumu kipindi hiki cha Hamza Kasongo On Sunday kunoga kama Mzee Mohamed angehojiwa na vijana (kama sisi) tusiokuwa na hazina ya historia kama mwandishi Mzee Hamza Kasongo.

Hili ni somo kwa waandishi na wanahistoria wa kipindi hiki chetu cha kidijitali ktk MEDIA za habari kujibidisha kusoma, kutafuta na kuhoji wazee ili na wao wanapoendesha kipindi ktk chombo cha habari wawe na utulivu na maswali sahihi wakati wakimuhoji nguli mwanahistoria Kaliba ya kina Mzee Mohamed Said.
 
..Mzee Mohamed Said this could be one of your best interviews.

..I really enjoyed it and learned a great deal about CUF and Znz election sagas.

..lakini kuna baadhi ya watu ambao wanaamini kwamba CUF kwa upande wa Tanganyika hawakuwa serious kukisambaza na kukiimarisha chama chao kama ilivyokuwa kwa ndugu zao wa Zanzibar.

..Na Prof pamoja na ku-sacrifice kazi zake za kitaaluma kwa ajili ya CUF impact yake haijakuwa kubwa kama ilivyotegemewa. Kwa mfano kwanini Prof hakuweza kuufanya mkoa wa Tabora ambako anatokea kuwa ngome ya CUF?

..lingine linalonisikitisha na tabia ya Maalim kurudi nyuma pale ambapo inatakiwa ashikilie msimamo wa kutetea ushindi wake. Yaani ulivyomuelezea Maalim ni kama vile CCM walishaelekezwa "kibla" mara nyingi ktk uchaguzi, lakini Maalim Seif badala ya kumaliza kazi,dakika za mwisho, amekuwa akirudisha "kisu" kwenye ala.
 
..Mzee Mohamed Said this could be one of your best interviews.

..I really enjoyed it and learned a great deal about CUF and Znz election sagas.

..lakini kuna baadhi ya watu ambao wanaamini kwamba CUF kwa upande wa Tanganyika hawakuwa serious kukisambaza na kukiimarisha chama chao kama ilivyokuwa kwa ndugu zao wa Zanzibar.

..Na Prof pamoja na ku-sacrifice kazi zake za kitaaluma kwa ajili ya CUF impact yake haijakuwa kubwa kama ilivyotegemewa. Kwa mfano kwanini Prof hakuweza kuufanya mkoa wa Tabora ambako anatokea kuwa ngome ya CUF?

..lingine linalonisikitisha na tabia ya Maalim kurudi nyuma pale ambapo inatakiwa ashikilie msimamo wa kutetea ushindi wake. Yaani ulivyomuelezea Maalim ni kama vile CCM walishaelekezwa "kibla" mara nyingi ktk uchaguzi, lakini Maalim Seif badala ya kumaliza kazi,dakika za mwisho, amekuwa akirudisha "kisu" kwenye ala.
JK,
Laiti kama Maalim asingerudisha kisu alani mauaji yangetokea.

Hakuna kitu chenye thamani kushinda maisha ya binadamu.

Maadui zake wangesema kawatoa kikoa watoto wa wenzake ili awe rais.
 
JK,
Laiti kama Maalim asingerudisha kisu alani mauaji yangetokea.

Hakuna kitu chenye thamani kushinda maisha ya binadamu.

Maadui zake wangesema kawatoa kikoa watoto wa wenzake ili awe rais.

..When shall we say enough is enough?

..Na labda hiyo ndio imekuwa turufu ya CCM kumtishia Maalim kuwa wananchi watauwawa ili akubali matokeo haramu.

..Kwenye hilo nadhani he was not the right person kupambana na CCM. Palihitajika mwana-CUF ambaye atapelekea CCM kuogopa kumuibia kura.

..Wakati mwingine huwa nawaza kama Mandela angekuwa na moyo wa Maalim Seif huenda utawala dhalimu wa kibaguzi ungedumu mpaka leo.
 
..When shall we say enough is enough?

..Na labda hiyo ndio imekuwa turufu ya CCM kumtishia Maalim kuwa wananchi watauwawa ili akubali matokeo haramu.

..Kwenye hilo nadhani he was not the right person kupambana na CCM. Palihitajika mwana-CUF ambaye atapelekea CCM kuogopa kumuibia kura.

..Wakati mwingine huwa nawaza kama Mandela angekuwa na moyo wa Maalim Seif huenda utawala dhalimu wa kibaguzi ungedumu mpaka leo.
Mwaka 2015 niliwahi sema Maalim kachoka na siasa za nyakati si zake, zama zimekwisha
Sikutegemea jambo tofauti hata pale aliposema '' Hatuwezi kukubali uhanithi'' safari hii.

Mtu sahihi kuendesha 'mapambano' dhidi ya dhulma katika nyakati hizi ni Mansour Himid.
 
Mkuu JokaKuu

Wakati tunaombeleza msiba wa Maalim, nitoke nje ya mada kidogo

ACT Wazalendo wameonyesha kukomaa pale walipofuata katiba kumpata ' Kaimu Mwenyekiti'' Semu

Katika siasa za nchi zetu hasa vyama vichanga kifo cha maalim kingeibua 'power struggle''
Pamoja na yoote bado katiba imeheshimiwa na ACT imebaki kuwa taasisi. Kudos ACT kwa hili

Kwa kuangalia nyakati ningesema haya

I'm rooting for Mansour Himid. Huyu ndiye atakaziweza siasa za Karafuu.
Mansour anaonekana 'mkorofi' lakini ukweli ni kuwa si mkorofi ni mtu mwenye misimamo isiyoyumba


Zitto
 
Mkuu JokaKuu

Wakati tunaombeleza msiba wa Maalim, nitoke nje ya mada kidogo

ACT Wazalendo wameonyesha kukomaa pale walipofuata katiba kumpata ' Kaimu Mwenyekiti'' Semu

Katika siasa za nchi zetu hasa vyama vichanga kifo cha maalim kingeibua 'power struggle''
Pamoja na yoote bado katiba imeheshimiwa na ACT imebaki kuwa taasisi. Kudos ACT kwa hili

Kwa kuangalia nyakati ningesema haya

I'm rooting for Mansour Himid. Huyu ndiye atakaziweza siasa za Karafuu.
Mansour anaonekana 'mkorofi' lakini ukweli ni kuwa si mkorofi ni mtu mwenye misimamo isiyoyumba


Zitto

..siwezi kusema nani anafaa zaidi ya wengine.

..lakini naamini anahitajika kiongozi anayeweza kuwaambia CCM " enough is enough" na akasimamia msimamo wake mpaka HAKI ipatikane.
 
Back
Top Bottom