Hizi slogan za makampuni ya simu ni shida

Hizi slogan za makampuni ya simu ni shida

f150b8dfa5ad5186e272ca595e3e194f.jpg
Voda
weka mbali kabisa
 
Halotel[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Aliwazalo mjinga ndio humtokea....wabongo kuwaza ngono muda wote....sioni Ubaya wa hizo slogan..,
 
Mwaka huu tutasikia mengi makinikia sijui makenia cha muhimu kuwa makini
 
Halotel[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Weka utiwe hahaha shida
 
Naomba niwatetee kampuni ya tiGO.

Leo hii Watanzania wanapiga kelele kuhusu "Jaza ujazwe". Lakini Watanzania wamesahau kuwa uchokozi waliuanzisha wenyewe.

Uchokozi huo waliuanzisha kwa kuharibu maana ya "tiGO". Sina haja ya kufafanua, ila kila Mtanzania anajua neno "tiGO" linatumikaje huku mtaani.

Ila ukigugo maana ya tiGO kwa lugha ya huko kampuni ilikotokea maana yake ni "Wewe". Bila shaka walilenga kumaanisha tiGO ni kampuni inayokujali wewe.

Na wacha Mungu wanaotumia Kiingereza wakaichakachua "TIGO" kuwa ni "Trust In God Only". Ambayo imekaa vizuri.

Ila sie Waswahili bwana .... sijui akili zetu zikoje mpaka tukaipa "tiGO" ile maana yetu ileeeeee!

Sasa tiGO nao wametuletea Uswahili tunaanza kulialia.

Acheni longolongo bwana. Andaeni hizo tiGO mjazwe. Maana hakuna namna nyingine.
 
Back
Top Bottom