Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
Sijasema uende jikoni mamiii, njoo sebule kwanza nataka ku . . . .
Haya boss wangu, c unajua mi nafuata oda zako naja.
Sijasema uende jikoni mamiii, njoo sebule kwanza nataka ku . . . .
Haya boss wangu, c unajua mi nafuata oda zako naja.
Kweli Babu lao,wanaume wengine wanazunguka weeeee,akueleze babu yake alikuwa chifu,mama yake alikuwa katibu wa chama enzi za nyerere sijui yeye alisoma english medium kipindi hicho hazipo nyingi.......then baada ya miezi sita huyo....Michelle i do love you.......kuwa muwazi mapema....sio kutumia muda na effort kubwa at the end kama siku-feel ndo hivyo tena........:laugh::laugh:
Ilikuwa zamani kwako....mimi kama mwanamke nakutana nao....guest anaweza kuwa alikuja kwakuwa ulimwambia mkutane hapo mzungumze mkiwa mmepumzika na private yeye hakuwa na fikra za sex kama wewe.....kufuatwa guest si lazima kuwe kwa ajili ya sex :laugh::laugh:
mazungumzo chumbani..! Tena wengine kabla ya kwenda mnakubaliana kabisa the way forward ni kuchakachuana
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:Michelle, hawa watu si mchezo rafiki yangu mi waga nachekaga tu saa ingine!!!!
Usista du huo. Wanaume nanyi muwe strait to the point tadhali! Eleza shida acha kupiga misele, loh.
Amekutafakari kabla ya kutimiza mliokubaliana akaona hustahili kupewa heshima ya kuchakachuana nae.....haihitaji shule kuelewa hilo.....makubaliano yaweza vunjika akaona sehemu ya kukuambia ni pale mlipoahidiana mkutane.......:embarrassed:
Raha ya kumfukuzia mwanamke akiringa kidogo na pozi kwa mbali sio anakubali siku ya kwanza na kubanjuana siku hiyohiyo inaondoa msisimko.Hii ipo sana, ila tatizo ni sisi vidume wenyewe kuwabembeleza sana hawa watu.... Cha msingi ni kuhakikisha katika siku 3 za kukutana hakikisha ana-declare interest kama unaona hana muelekeo achana nae... Mwaka mzima unamfuatilia mtu, unatafuta nini na ndio maana wanaleta pozi!!! :msela:
Raha ya kumfukuzia mwanamke akiringa kidogo na pozi kwa mbali sio anakubali siku ya kwanza na kubanjuana siku hiyohiyo inaondoa msisimko.
Haus gal ananiita hivyo, na wewe uniite hivyo??!!! Aaaaah! Tafadhali mamiiiii . . . au umeshabadilishana vyeo na hausi geli wako so that yeye ndo ananiita . . . :roll: