Wanafeli, wanafikiri kila mtu anatumia line kuingia WhatsApp na kutuma hela tu.hivi kwanza wanamaana gani kuweka ulinzi wa namna hyo. huo ulinzi bado sijaona umuhimu wake
Hakuna mtu aliekataa hilo. Issue hapa ni kwamba wanazuia kuzitoa hata kma huzitaki. Line ikiwa na PIN inagoma kufanya kazi kwenye mi-fi routers na baadhi ya modemHizo Pin ni kwa Usalama wenu na kama hamjui sio Halotel tu ila line zoote kuanzia Julai zitakuwa hivyo
Hakuna mtu aliekataa hilo. Issue hapa ni kwamba wanazuia kuzitoa hata kma huzitaki. Line ikiwa na PIN inagoma kufanya kazi kwenye mi-fi routers na baadhi ya modem
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi kwanza wanamaana gani kuweka ulinzi wa namna hyo. huo ulinzi bado sijaona umuhimu wake
Kuna baadhi zinatoka!! kama mtandao ule makao makuu yake yako kwenye njia pandaHizo pin hazitoki hata kwa ngumi!
Airtel pale Moroko auKuna baadhi zinatoka!! kama mtandao ule makao makuu yake yako kwenye njia panda
Dah unavunga tu!!Airtel pale Moroko au
Pin zimeanza juzi juzi labda oktoba. Hata mimi nilirenew laini ya halotel nikapata yenye pin na haitoki.Mbona mm line zote nilizosajili hazikuwa na PIN code yoyote. Halotel nilisajili kma miezi mi 6 hvi iliyopita na siku kuta PIN code. Airtel nilirenew line mwezi wa 11 na haikuwa na PIN yoyote activated. Hzo line wenzetu mnanunulia wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa hilo inakataa labda uishie kuchange password tu .Ninayo line mpya nimesajili si mda mrefu sana hata mwaka haujafika, imetoka hio pin. Sijafahamu kama kuna utaratibu umebadilika.