Kwa sasa hakuna kitu cha namna hiyoNinayo line mpya nimesajili si mda mrefu sana hata mwaka haujafika, imetoka hio pin. Sijafahamu kama kuna utaratibu umebadilika.
Huo ni ujinga sasa wanaofanya. Sio kila mtu anataka PIN code kwenye line yakeKwa sasa hakuna kitu cha namna hiyo
Nina Airtel na halotel zote hazitoki
Zina fail
Hizi ni za juzi hapa
Huo ni ujinga sasa wanaofanya. Sio kila mtu anataka PIN code kwenye line yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangesema tu line zote zije na pin code by default ila kuwe na njia ya kuizima kwa wasiotaka. Ssa hapo mtu huwezi hata tumia hyo line kwenye routerwanatupoteza baadhi ya wateja kunawengine hata haya mapassword wala pattern hawataki sasa we leo unawaletea pin code tena kwa lazima
-Umejaribu app ya sim hakuna option hio?Kwa sasa hakuna kitu cha namna hiyo
Nina Airtel na halotel zote hazitoki
Zina fail
Hizi ni za juzi hapa
Wangesema tu line zote zije na pin code by default ila kuwe na njia ya kuizima kwa wasiotaka. Ssa hapo mtu huwezi hata tumia hyo line kwenye router
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ulifungua uzi wa nini? Si kila mtu a naamini vitu kirahisi na kufikia conclusion hapo hapo, sijakutana na line ya namna hio Ila naamini njia mbalimbali zinaweza tumika kutafuta solutions.Chamsingi uelewe tu hazitoki kwa namna yoyte ile zinakuja na lain ni unachoweza kukifanya ni kuzibadirisha tu ila kuzitoa sahau
Bila shaka atakuwa amefuata huu ushauri. Na ni rahis zaid akitumia kutolea kwa kutumia kasimu kadg😁Pin code wameziandika pale nyuma ya line
Zinatoka mkuu acha kudangany watu. Anewei kama umeshafika hitimisho by urself kuwa hazitok bc ishi humo🤐Chamsingi uelewe tu hazitoki kwa namna yoyte ile zinakuja na lain ni unachoweza kukifanya ni kuzibadirisha tu ila kuzitoa sahau
Miez 8 iliyopita mkuumala ya mwisho umesajili lain ya halotel mpya ni lin?
Sasa ulifungua uzi wa nini? Si kila mtu a naamini vitu kirahisi na kufikia conclusion hapo hapo, sijakutana na line ya namna hio Ila naamini njia mbalimbali zinaweza tumika kutafuta solutions.
Zamani sana poleMiez 8 iliyopita mkuu
Sasa hivi haiwezekani iwe kwa option ya kwanza ama ya pili nadhani issue iko nje ya utawala especially walio sajili na kurenew laini wiki iliyoisha huko.-Umejaribu app ya sim hakuna option hio?
-Pia jaribu kupiga customer care
Ni.epata hii meseji lleo.
Ndugu Mteja, laini zote za simu zitakazotolewa kuanzia Julai 1 zitakuwa na Neno la siri ambalo Mteja atatakiwa kulibadili ili kutumia laini mpya yenye usalama
Sent from my cupboard using mugView attachment 1707166