Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
- Thread starter
-
- #101
Ok kumbe zinapendezwsha hakuna shida vijana ongezeni spiidiiii
Mkuu aaron anasepa! Utahama timu?Hata sijaelewa
'When youβve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.β David Alaba
Kaweka mpira kwapani
Mbona wapo baadhi ya wakuda humu wanasema ukianza kutumia ARV ndio mwanzo wa kudhohofika.kwamba mrembo ni mwathirika, kwamba ARV zilimwokoa kurudisha mwili wake tayari uliokuwa umeanza kuzoofika kwa HIV.
Ndio hapo unapojiandikia historia ya kifo!Hahahha ukute Kijana ndiio yuko twenties Hahaha mnara unasoma 4G, unafikiri kwenda kupiga show za kibabe!
You are strong than what you think...
Hahaha There is hope...Kwa hali hii tutakufa kama kuku
Hapo ungeweka picha hiyo ya kwanza akiwa anatembea barabarani peke yake
Comments zingekuwa tofauti kabisa
Ungeona wooow, tupia namba, bomba, anaishi wapi, au ni mnyaruanda
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Inatisha kwa kweliHahaahaH dah kweli kabisa aiseeeee
You are strong than what you think...
Hapo ndipo tunapofeli vijana. Binafsi baada ya kujua madhara ya kuikomoa ngenya kisa uonekane kidume sijui nmeamua hizo sifa niwaachie wenzangu. Sahivi ni mwendo wa Slow motion for me!Daah, ila tuache utani. Tusiongee tu kwa sababu tumeona picha zake tofauti tofauti. Kuna asilimia kubwa sana ya sisi wanaume kutaman kumpiga show za kibabe huyo dada ili akasimulie wenzake.
Ni mkali na amesimamia ukucha aisee, ila huwez amin kwmb taa nyekundu ishawaka. Akikupa huyo, hata kivazi unaweza ukasahau, maeeee...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaHapo ndipo tunapofeli vijana. Binafsi baada ya kujua madhara ya kuikomoa ngenya kisa uonekane kidume sijui nmeamua hizo sifa niwaachie wenzangu. Sahivi ni mwendo wa Slow motion for me!
Kwa taarifa yenu ni kwamba hakuna tofauti kati ya mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi na mtu asiye na maambukizi.
Tofauti iko kati ya mtu mwenye/asiye na maambukizi na mtu mwenye ukimwi.
Anayetumia dawa vizuri haambukizi tena!
Anaweza kupata watoto wasio na maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ wazee wa Navy Games nawaona nawaonaa!!!Ndo hvyo yan. Ukishaona mapaja na mashavu ya K, ukimcheki usoni macho kalegeza, anatoa mlio wa ajabu ajabu, analia baby ingiza baby ingiza...!!! Daaah, ukipata nguvu ya kuvaa kivazi kweli ww kidume
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Inatisha kwa kweli
Au angekuwa mgeni wa JF na kujitambulisha humu PM yake ingejaa
Halafu baada ya kuwanasa wengi akaanza kuweka picha zake alivyokuwa kakonda
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kwani wanagawa zawadi huko? πππvideo hii inaukweli ambao watu wanaupuuziaView attachment 1063040
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kidume ukuni unataka kuchana boxer! Unaeza ona kuvaa juba ni kupoteza mda tu!