tena hawa jamaa wa barabarani ni balaa unaweza ukawapa nakala yako wakaitumia kusajiria laini nyingi tu za wateja wengine,alafu marA nyingi wala hawazipeleki kule kwnye ofisi zao na unaweza tumia laini hata mwaka lakn ukicheki usajiri unaambiwA umesajiriwA kwa muda na usajiri wako utakamilika utakapoleta nakala ya kitambulisho chako na wakati huo yule jamaa wA road ulimuachia .Kwanini wasiscan na kunirudishia nakala yangu? Na hao wenye mimvuli kado ya barabara scana wanatoa wapi?