Mimi sijamtukana huyu ndugu, nilikuwa namfundisha ustaarabu tu. Huwezi kusema mnipe kazi.
Hili neno linatumiwa na vijana waliojilea tu.
Naipenda kazi yangu kwani inaniwezesha kukopa na kufanya mambo mengine kama ujenzi.
Na kupitia kazi yangu nimeweza kupata mtaji wa kuwekeza kwenye kilimo na duka la rejareja.
Sitaacha mpaka nitakapoamua.
Kuajiriwa si utumwa, hata waliojiajiri wengine wanafanya kazi masaa mengi sans while production ni ndogo sana.