mudy92
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 669
- 520
Wasalaam..
Usiku kama 3 niliweka bandiko kuwa nilitembea na binti muathirika HIV+ kwa Kutumia KINGA na nilienda kupima wiki 3 mbele nikaambiwa Niko salama (NEGATIVE)
Nimekuwa na Mambo haya yakunitatiza..
1-Maumivu ya Kichwa haswa kisogoni, Pia maumivu nikikitikisa kichwa
2-Maumivu ya shingo nikiigeuza au kuinama mbele
3-Maumivu ya Koo kama nimekabwa na kitu/kukaza misuli (Huwa nasumbuliwa na Tonsils)
4- Uchovu
Wakuu Niko njia panda hapa je hizi ni dalili za stress (tokana na yoga wa UKIMWI) au Dalili za HIV
Usiku kama 3 niliweka bandiko kuwa nilitembea na binti muathirika HIV+ kwa Kutumia KINGA na nilienda kupima wiki 3 mbele nikaambiwa Niko salama (NEGATIVE)
Nimekuwa na Mambo haya yakunitatiza..
1-Maumivu ya Kichwa haswa kisogoni, Pia maumivu nikikitikisa kichwa
2-Maumivu ya shingo nikiigeuza au kuinama mbele
3-Maumivu ya Koo kama nimekabwa na kitu/kukaza misuli (Huwa nasumbuliwa na Tonsils)
4- Uchovu
Wakuu Niko njia panda hapa je hizi ni dalili za stress (tokana na yoga wa UKIMWI) au Dalili za HIV