sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Unaweza kuziona kwa macho bila kiona mbali kama upo kwenye eneo lenye "clear sky"
Unaweza kuziona kwa macho bila kiona mbali kama upo kwenye eneo lenye "clear sky" View attachment 884841
Ni kweli, zina karibu miez kadhaa.. Ila bado kuna watu hawakujua, so kufahamishana bado sio tatizoThey have been there for several days, kuna post hapa alifanya Dr. Noolali (OUT) kama sijakosea mwezi wa July au August 2018
Ni kweli, zina karibu miez kadhaa.. Ila bado kuna watu hawakujua, so kufahamishana bado sio tatizo
Bangi mbaya sana!!
Nimeiona pianimeona antares ni nyekundu na ipo clear kabisa
Kwa kweli ni mbayaBangi mbaya sana!!