Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,589
- 3,639
Jiangalie na jihadhari na huyo jamaa yako (Mbabe) isije kuwa amekuwekea mtego kwa lengo la kukutatua Marinda...!
Chunga sana cha mtu ni Sumu..
Chunga sana cha mtu ni Sumu..
Njoo nikufundishe biashara ya kufanya
Nna mgodi unaotembea
kuna madini mpaka ya Chumaningekuwa nazo, akyanani fastaaaa ningekuja kuwekeza kwenye huo mgodi wako unaotembea. Nahisi mgodi bado madini yamo, haujaishiwa.
-Kaveli-
how ??????mbona wengi tungekua ma bilioneaNUNUA US DOLA
1 USD =2,246.88TZS
UTAPATA DOLA=890
Pesa ndogo sana hiyo kwa FOREXSo far nmeona ushaur mzur ni huu hapa tu ukinunua dollar after three months time inaweza kuwa imeongezeka hata shilling 3 per dollar sio mbaya
kuna madini mpaka ya Chuma
jilipue tuHuo mgodi ni nowma. Najilipua...
-Kaveli-
Nyie ndio wahujumu uchumi m16 umekaa Nazo tu pasipo kuingiza kwenye mzungukobiashara haiendi siku hizi me mwenyewe nina 16m Tsh ila sioni chakufanya
ni zangu husinipangie cha kufanyaNyie ndio wahujumu uchumi m16 umekaa Nazo tu pasipo kuingiza kwenye mzunguko