Hizi milioni mbili taslimu

Hizi milioni mbili taslimu

LUBEDE

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
4,322
Reaction score
6,694
Wakuu kuna mdau kanipa mil.2 taslimu nimuwekee kwa muda wa miezi mitatu,sasa kilichopo akilini mwangu imenijia idea kuwa within this time hivi hakuna mishe naweza nikaifanyia ijizungushe ili wakati wa kuja kuzichukua na mimi niwe nimebakia na masalia?

Maana kuziweka tu zivunde naona sio sawa,sababu ya kuandika hapa ni kuomba msaada wa kimawazo kwa mwenye uelewa wa nini naweza nikakifanya kuzizungusha hizi pesa zizaliane kwa kipindi tajwa?

Nitalichukua na kulifanyia kazi lolote nitakaloona litanifaa na lina uhalisia ili nisile hasara,maana mwenyewe hajui nikiwazacho hapa afu ni mbabe pia atanivuruga!
 
umepewa uiweke kwa niaba au uitumie? ukitumia utaweza kuirudisha pasipo shaka? kama jibu ndiyo then go ahead!
 
umepewa uiweke kwa niaba au uitumie? ukitumia utaweza kuirudisha pasipo shaka? kama jibu ndiyo the go ahead!
nimepewa nimuhifadhie until hiyo miezi mitatu,mimi tu ndio nimepata wazo la kutaka kuichezesha lede!
niitumie kwa kuifanyia nini ndio swali langu,unanishauri niipigie mishe gani?
maana mwenyewe hatakiwi kujua lolote...ataipora akisikia nataka kuitingisha...
 
wakuu kuna mdau kanipa mil.2 taslimu nimuwekee kwa muda wa miezi mitatu,sasa kilichopo akilini mwangu imenijia idea kuwa within this time hivi hakuna mishe naweza nikaifanyia ijizungushe ili wakati wa kuja kuzichukua na mimi niwe nimebakia na masalia?
maana kuziweka tu zivunde naona sio sawa,sababu ya kuandika hapa ni kuomba msaada wa kimawazo kwa mwenye uelewa wa nini naweza nikakifanya kuzizungusha hizi pesa zizaliane kwa kipindi tajwa?
nitalichukua na kulifanyia kazi lolote nitakaloona litanifaa na lina uhalisia ili nisile hasara,maana mwenyewe hajui nikiwazacho hapa afu ni mbabe pia...atanivuruga!




NUNUA US DOLA
1 USD =2,246.88TZS

UTAPATA DOLA=890
 
wakuu kuna mdau kanipa mil.2 taslimu nimuwekee kwa muda wa miezi mitatu,sasa kilichopo akilini mwangu imenijia idea kuwa within this time hivi hakuna mishe naweza nikaifanyia ijizungushe ili wakati wa kuja kuzichukua na mimi niwe nimebakia na masalia?
maana kuziweka tu zivunde naona sio sawa,sababu ya kuandika hapa ni kuomba msaada wa kimawazo kwa mwenye uelewa wa nini naweza nikakifanya kuzizungusha hizi pesa zizaliane kwa kipindi tajwa?
nitalichukua na kulifanyia kazi lolote nitakaloona litanifaa na lina uhalisia ili nisile hasara,maana mwenyewe hajui nikiwazacho hapa afu ni mbabe pia...atanivuruga!
Huo ni wizi
 
nimepewa nimuhifadhie until hiyo miezi mitatu,mimi tu ndio nimepata wazo la kutaka kuichezesha lede!
niitumie kwa kuifanyia nini ndio swali langu,unanishauri niipigie mishe gani?
maana mwenyewe hatakiwi kujua lolote...ataipora akisikia nataka kuitingisha...
mimi nakushauri uzitafte mahali uzihifadhi mana je utakalotaka kufanya litakua na risk je utaitatuaje risk hiyo ukikumbana nayo? sawa amekupa umhifadhie what if aje aitake hela yake within one month na wewe hela ushaizungusha?
 
Ngoja nami nipitie comments laba nkapata idea m baby Wangu ananipaga pesa nimtunzie now imefika ten million
 
Na walah atakuvuruga tu,we zitumie tu ,lakin amin hazitarud na ndo mwanzo wa jamaa mbabe kukuvuruga!
 
Wakuu kuna mdau kanipa mil.2 taslimu nimuwekee kwa muda wa miezi mitatu,sasa kilichopo akilini mwangu imenijia idea kuwa within this time hivi hakuna mishe naweza nikaifanyia ijizungushe ili wakati wa kuja kuzichukua na mimi niwe nimebakia na masalia?

Maana kuziweka tu zivunde naona sio sawa,sababu ya kuandika hapa ni kuomba msaada wa kimawazo kwa mwenye uelewa wa nini naweza nikakifanya kuzizungusha hizi pesa zizaliane kwa kipindi tajwa?

Nitalichukua na kulifanyia kazi lolote nitakaloona litanifaa na lina uhalisia ili nisile hasara,maana mwenyewe hajui nikiwazacho hapa afu ni mbabe pia atanivuruga!

Mkuu! Kama ujuavyo binadamu sometimes hawaeleweki Pia shida haina adhabu. Sio ajabu akarudi kabla ya hiyo miezi mitatu kuchukuwa mzigo wake huku wewe teyari umeshaizungusha na bado haujarudisha hata robo. BE Careful
 
Back
Top Bottom