LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,322
- 6,694
Wakuu kuna mdau kanipa mil.2 taslimu nimuwekee kwa muda wa miezi mitatu,sasa kilichopo akilini mwangu imenijia idea kuwa within this time hivi hakuna mishe naweza nikaifanyia ijizungushe ili wakati wa kuja kuzichukua na mimi niwe nimebakia na masalia?
Maana kuziweka tu zivunde naona sio sawa,sababu ya kuandika hapa ni kuomba msaada wa kimawazo kwa mwenye uelewa wa nini naweza nikakifanya kuzizungusha hizi pesa zizaliane kwa kipindi tajwa?
Nitalichukua na kulifanyia kazi lolote nitakaloona litanifaa na lina uhalisia ili nisile hasara,maana mwenyewe hajui nikiwazacho hapa afu ni mbabe pia atanivuruga!
Maana kuziweka tu zivunde naona sio sawa,sababu ya kuandika hapa ni kuomba msaada wa kimawazo kwa mwenye uelewa wa nini naweza nikakifanya kuzizungusha hizi pesa zizaliane kwa kipindi tajwa?
Nitalichukua na kulifanyia kazi lolote nitakaloona litanifaa na lina uhalisia ili nisile hasara,maana mwenyewe hajui nikiwazacho hapa afu ni mbabe pia atanivuruga!