DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Ya kwako ipi mtoto mzuriNdoa kuchuma
Ya kwako ipi mtoto mzuriNdoa kuchuma
Kwa sisi wahenga wabishi hiyo namba 8 ndiyo ilitutoa knock-out!! Hatupendani wala hatuchukiani! Uzuri wa hii ni kuwa kila mmoja anakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kumweleza mwenzie ukweli bila kujali kama utamuumiza au lah!Hiyo ndoa ya MIMBA ndo inanitafuna sasa najuta sana
Pole sanaHiyo ndoa ya MIMBA ndo inanitafuna sasa najuta sana
Amekopi na kupest ndomana namb tatu haipo tumvumiliee Tu haina namnaaUpo makini sana, hongera
Zipo kwa warab na watu wa kijijininamba tatu haipo
PoleHiyo ndoa ya MIMBA ndo inanitafuna sasa najuta sana
AhahahaaaaaaAmekopi na kupest ndomana namb tatu haipo tumvumiliee Tu haina namnaa