johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Nashuhudia Hapa BBC Alaska Air wakizipumzisha ndege zake aina ya Boing 737 kutokana na matatizo mbalimbali ikiwemo kudondoka bolts na plugs za milango
Nawaza tu kadhia hii ingewakuta ATCL na zile ndege za Shujaa pasingetosha hapa
Nawaza tu kadhia hii ingewakuta ATCL na zile ndege za Shujaa pasingetosha hapa