Nimejiuliza swali hili baada ya kumsoma RC Anthony Mtaka wa Simiyu akisema amekabidhi kadi 25 elfu kwa wakuu wake wa wilaya. Mtaka amesema wanaostahili kupewa vitambulisho ni wale ambao " Mauzo" yao kwa mwaka mi chini ya sh 4,000,000.
Wahasibu nisaidieni, Je Mtaka yuko sahihi?