Nilikuwa ughaibuni kwa kipindi cha miezi 2 hivi na nililimiss Jukwaa la Mahusiano,mapenzi na urafiki. Niliporudi tu nilifukuzia huko lakini hamu yangu imekatishwa tamaa. Naona ile spidi ya postings niliyoizowea haipo tena na badala yake postings zimekuwa chache, Kunani jamani?