Hivyo mlivyoumbwa isiwe sababu.

Hivyo mlivyoumbwa isiwe sababu.

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,195
Kuna hao madada wasiopenda kufanya kazi wao kazi yao ni kupiga mizinga wanaume ili waweze kuishi (Kudanga)

Ukiwauliza wengi wa wanawake wanaofanya hiyo kazi majibu yao huwa ni easly tu kwamba wao wameumbwa kuwafurahisha wanaume.!

Wewe mwanamke hutaki kufanya kazi unategemea kipapa chako ndio kiwe kinakulisha,kinakuvisha na mpaka kukupangishia Nyumba basi tegemea lazima utatuliwe linda tu.

Mambo ya kifirauni yameongezeka sana siku hizi kwa sababu ya hao hao mademu wasiotaka kufanya kazi siku hizi wanamtindo wao wakishaona Kipapa kimeanza kuchakaa wanaleta matangazo ya kuuza tigo kama mbadala wa kipapa chao.

Fanya kazi mtoto wa kike mwanamke stara ndio Heshima usijidanganye eti kwa hivyo ulivyoumbwa ndio sababu ya wewe kutegemea mwili wako kuwa kitega uchumi.

Fanya kazi mtoto wa kike mwili wako una dhamani sana zaidi ya unavyofikiria.



Message Sent.!
 
Umridhishe na ela ya matumizi umpe

Akili zao ata wao wenyewe hawazielewi!
 
Umridhishe na ela ya matumizi umpe

Akili zao ata wao wenyewe hawazielewi!
Mi huwa sifanyi kazi hii akila changu basi sina haja ya kungangana mpaka aridhike nikimaliza Round yangu Nashuka Avae Asepe.
 
"Pindua Pindua" ,

hili tangazo la voda com bhana nimekaa mda mrefu ndo nkaja kugundua wana maanisha nn, Bando unaweza badilisha likawa air time and air time to bando


Wanawake pia wanasema wanaweza Pindua Pindua


no more question pls..
 
Na wanaowanunua ndio wanaentateini hiyo hulka yao.


Bazawei life is a choice.
 
Mkuu acha wenzako tufaidi vipapa vyao maana yake wakiacha kudanga itabidi tutongoze ka wafilipino, unapeleka maua, stori nyiiingi mpaka upewe papa miaka miwili, mitatu hali itakua ngumu sana acha watupige vizinga ili tuwamege kirahisi,

Kuna mtoto sikuamini kama naweza kummega matawi sana ana kazi nzuri tu lakini nilimpelekea chips cku mbili tu nkala mzigo
 
Back
Top Bottom