Hivi Zanzibar kuna nini cha zaidi huko?

Hivi Zanzibar kuna nini cha zaidi huko?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,472
Reaction score
11,565
Mimi sijawahi kufika hembu wenyeji niambieni kuna nini cha maana sana ambacho siku nikija kutembea huko nitatamani nisiondoke.

Maana mimi nishazoea huku bara nikitaka kutembea napanda magari ya mikoa nazunguka mikoa mbali mbali kujionea mema ya nchi.
 
Hata kama ingekua ardhi inapatikana kirahisi hivi kweli mikoa yote tanzania bara uache kununua ardhi ukajichimbie huko? Sio kweli
nina jamaa zangu wapo kule wanasema kule ni hela za kula na kulipia kodi ya pango tu ila kujenga ni mtiti ingawa kwa mbongo ni ngumu kumiliki kiwanja kule pia hata upenyo wa kujenga ni ngume pesa kuipata kwa mbinde
 
Kuna wasenge wa kumwaga.
Pesa yako tu, vilainishi wanavyo wenyewe.
 
Mimi sijawahi kufika hembu wenyeji niambieni kuna nini cha maana sana ambacho siku nikija kutembea huko nitatamani nisiondoke.

Maana mimi nishazoea huku bara nikitaka kutembea napanda magari ya mikoa nazunguka mikoa mbali mbali kujionea mema ya nchi.
Zanzibar au Zinj al baar maana yake ni ardhi ya weusi.
Unguja maana yake ni "usafiri" au pia lina asili ya neno "Kuunguja" au "kunguja" lenye maana ya kukusanyika au kuishi pamoja, hivyo hutakosea ikiwa bara unapanda magari kutembelea mikoa mingine kwenda kuona mema ya nchi, unaweza panda mashua kwenda kutembelea ardhi ya ndugu zetu weusi waishio kwenye visiwa hivyo vya karafuu kuona mema yao.
Ikiwa waajemi, warabu na wahindi walifika visiwani huko na hawajarudi makwao kutokana na uzuri wa visiwa hivyo na inasadikiwa baada ya mapinduzi Karume alikuja na fikra za kuchanganya damu kwa kuwaoa mabinti wa kiarabu, kihindi na kishirazi.
Comrade_kipepe unaweza kumpata Betina wa kizenji huko na usirudi ulipotoka.
 
mademu wa kizungu wengi, kama ni mtu wa kupenda kulelewa na mabibi wakizungu fursa zipo.
 
Zanzibar kuna mji mkongwe na urojo, pia kuna fukwe nzuri huko Nungwi, Kendwa, nk. Pia kuna Pomboo(dolphins)huko Kizimkazi Dimbani.

Kuna pori la Jozani lenye Tumbili pia kuna shamba la viungo huko Kizimbani.
 
Back
Top Bottom