comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,472
- 11,565
Mimi sijawahi kufika hembu wenyeji niambieni kuna nini cha maana sana ambacho siku nikija kutembea huko nitatamani nisiondoke.
Maana mimi nishazoea huku bara nikitaka kutembea napanda magari ya mikoa nazunguka mikoa mbali mbali kujionea mema ya nchi.
Maana mimi nishazoea huku bara nikitaka kutembea napanda magari ya mikoa nazunguka mikoa mbali mbali kujionea mema ya nchi.