Hivi wazungu wamegundua dawa ya HIV na hawatuambii?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,742
215,933
Bi shost aliolewa na mzungu miaka mitano iliyopita, wakaenda kuishi Uingereza. Ingawa hawajanikiwa kupata mtoto, wanaishi kwa mapenzi makubwa sana. Walinialika nikawatembelee kipindi cha Noeli. Mzii akiwa ametoka shost akaanza kunipa michapo.

Miaka miwili iliyopita bibie alipata kazi mpya, lakini kabla ya kuanza kazi walitaka the most uptodate medical history ambayo ni full check up. Bidada alipata mshutuko majibu yalipokuja ni HIV+. Baada ya kurudi nyumbani na masikitiko akamueleza mumewake ambae nae alikuwa na mstuko mkubwa. Kesho yake na mume akaenda kupima lakini akakutwa negative.

Ilibidi akawaambie kule kwenye kazi mpya, akijua kibarua kimeota mbawa tayari, lakini cha ajabu wakamwambia aanze matibabu na Dr wake awahakikishie kwa maandishi kuwa yuko kwenye matibabu hawana sababu ya kutokumuajiri.

Bishost akaanza matibabu, ingawa hakuwa mgonjwa lakini anasema alikuwa anahisi kuchoka mara zote, na ugonjwa ulikuwa umedhoofisha sana ndani pasi yeye kujijua. CD4 zilikuwa chini sana na viral load ilivuka laki moja.
Alianza matibabu na combination ya vidonge vitatu, baada ya miezi miwili akaenda kupimwa, viral load ilikuwa haionekani. Baada ya miezi sita kupimwa CD4 zimepanda kwa kiasi cha kuridhisha, baada ya mwaka mmoja Dr wake akaanza kumpunguzi dawa moja, lakini akawa anapima damu kila baada ya miezi mitatu, baada ya miezi mitatu mingine akapunguziwa dawa moja akawa anakunywa kidonge kimoja tu, baada ya miezi mingine mitatu akaambiwa aache kunywa dawa waangalie, ananiambia ni mwaka mmoja sasa tangu ameacha kunywa dawa na hakuna viral load.
Siwezi kumsimulia mtu mwingine hii story, maana ameniambia hata ndugu zake hawafahamu. Sasa jamani ni kuwa wazungu wamegundua dawa lakini hawatuambii?
 
Hakuna dawa ya kuua kirusi duniani. Kuna dawa za chanjo na kuvubaza makali ya virusi. Kirusi kikihisi mazingira tofauti kinabadilika na kuwa sio kiumbe hai, baadae dawa ikiisha kinarudi kuwa kiumbe hai.
 
Bi shost aliolewa na mzungu miaka mitano iliyopita, wakaenda kuishi Uingereza. Ingawa hawajanikiwa kupata mtoto, wanaishi kwa mapenzi makubwa sana. Walinialika nikawatembelee kipindi cha Noeli. Mzii akiwa ametoka shost akaanza kunipa michapo.

Miaka miwili iliyopita bibie alipata kazi mpya, lakini kabla ya kuanza kazi walitaka the most uptodate medical history ambayo ni full check up. Bidada alipata mshutuko majibu yalipokuja ni HIV+. Baada ya kurudi nyumbani na masikitiko akamueleza mumewake ambae nae alikuwa na mstuko mkubwa. Kesho yake na mume akaenda kupima lakini akakutwa negative.

Ilibidi akawaambie kule kwenye kazi mpya, akijua kibarua kimeota mbawa tayari, lakini cha ajabu wakamwambia aanze matibabu na Dr wake awahakikishie kwa maandishi kuwa yuko kwenye matibabu hawana sababu ya kutokumuajiri.

Bishost akaanza matibabu, ingawa hakuwa mgonjwa lakini anasema alikuwa anahisi kuchoka mara zote, na ugonjwa ulikuwa umedhoofisha sana ndani pasi yeye kujijua. CD4 zilikuwa chini sana na viral load ilivuka laki moja.
Alianza matibabu na combination ya vidonge vitatu, baada ya miezi miwili akaenda kupimwa, viral load ilikuwa haionekani. Baada ya miezi sita kupimwa CD4 zimepanda kwa kiasi cha kuridhisha, baada ya mwaka mmoja Dr wake akaanza kumpunguzi dawa moja, lakini akawa anapima damu kila baada ya miezi mitatu, baada ya miezi mitatu mingine akapunguziwa dawa moja akawa anakunywa kidonge kimoja tu, baada ya miezi mingine mitatu akaambiwa aache kunywa dawa waangalie, ananiambia ni mwaka mmoja sasa tangu ameacha kunywa dawa na hakuna viral load.
Siwezi kumsimulia mtu mwingine hii story, maana ameniambia hata ndugu zake hawafahamu. Sasa jamani ni kuwa wazungu wamegundua dawa lakini hawatuambii?
Dawa ya HIV au tuseme AIDS haijapatikana bado..dawa tunazotumia africa au tuseme Tanzania ni za misaada na ni cheap kutoka kwenye viwanda huko ulaya na hutumia cheap ingredients kizitengeneza ambapo huwa na side effects nyingi na kuchosha mwili tofauti na za ulaya..Kitaalamu dawa hizi zimegawanyika makundi 4 kama iguatavyo:
1-Non Nucleoside Reverse Transctiptase inhibitors NNRTIs
2-Nucleoside Reverse Transcriptase Inhibitors NRTIs
3-Protease Inhibitors
4-Intergrase Inhibitors
Kwa Tanzania tunatumia combination ya 1 ,2 na 3 lakini kwa wenzetu ulaya wako more adance kwa kutumia aina hiyo ya 4 ambazo ni gharama sana na zenye side effect kidogo..Bure ghali na beggers are not choosers!Kama tunataka kuondokana na hili janga ARVs zianze kuuzwa kwenye private sector au pharmacies mtaona new brands ambazo ni bomba sana kuliko za serikali
 
Ukimwi fahamu ulivyoanza,ilikuwa ni US Army inatafuta biological weapon dhidi ya adui. Wakapewa hela na Congress kufanya hiyo research. It is all documented,hata ile Congress Resolution nimeiandika hapa JF in an earlier posting. Halafu ukimwi umekuwa introduced kwa makusudi katika chanjo in 1975,ilikuwa ni chanjo ya nini,I forget,it was smallpox vaccination for Tanzania and other countries,ukawa introduced Haiti na sub-saharan Africa. Ipo belief among the world elite kwamba there are too many people and the world must be depopulated,kuna belief in scientific circles kwamba there are too many people,causing the world to wobble dangerously on its axis,they want the world to be depopulated. Inaaminika kwamba very soon,it is long overdue.the world will tip over on its axis. It is believed that there is an anti dote for AIDS which will be released when population levels have fallen to the desired level.
 
Hakuna dawa ya kuua kirusi duniani. Kuna dawa za chanjo na kuvubaza makali ya virusi. Kirusi kikihisi mazingira tofauti kinabadilika na kuwa sio kiumbe hai, baadae dawa ikiisha kinarudi kuwa kiumbe hai.

Asante kwa hii elimu mkuu.

Kumbe ndo maana hakunaga dawa ya ngwengwe!
 
Ukimwi fahamu ulivyoanza,ilikuwa ni US Army inatafuta biological weapon dhidi ya adui. Wakapewa hela na Congress kufanya hiyo research. It is all documented,hata ile Congress Resolution nimeiandika hapa JF in an earlier posting. Halafu ukimwi umekuwa introduced kwa makusudi katika chanjo in 1975,ilikuwa ni chanjo ya nini,I forget,it was smallpox vaccination for Tanzania and other countries,ukawa introduced Haiti na sub-saharan Africa. Ipo belief among the world elite kwamba there are too many people and the world must be depopulated,kuna belief in scientific circles kwamba there are too many people,causing the world to wobble dangerously on its axis,they want the world to be depopulated. Inaaminika kwamba very soon,it is long overdue.the world will tip over on its axis. It is believed that there is an anti dote for AIDS which will be released when population levels have fallen to the desired level.

America wanadai back in 1966 walitibu mtu ambae alikuwa na dalili zote za ukimwi lakini hawakujua ni ugonjwa gani then, romers has it that it is a failed polio vaccination na zilipekwa sana Congo in 1950's then King Leopard akiwa anashikilia uchumi wa dunia kulikuwa na big scentific researches in Congo Brazaville.
 
Hakuna dawa ya kuua kirusi duniani. Kuna dawa za chanjo na kuvubaza makali ya virusi. Kirusi kikihisi mazingira tofauti kinabadilika na kuwa sio kiumbe hai, baadae dawa ikiisha kinarudi kuwa kiumbe hai.
This is what we read from books. Matibabu ya ukimwi yanafanyika kwa mitindo tofauti. Je unajua ukipata ukimwi ndani ya siku Saba unatibika? Why ? Je unajua mtoto aliezaliwa na ukimwi anaweza pona ndani ya five years kwa combination za ARVS . Let us think out of the box
 
Dawa ya HIV au tuseme AIDS haijapatikana bado..dawa tunazotumia africa au tuseme Tanzania ni za misaada na ni cheap kutoka kwenye viwanda huko ulaya na hutumia cheap ingredients kizitengeneza ambapo huwa na side effects nyingi na kuchosha mwili tofauti na za ulaya..Kitaalamu dawa hizi zimegawanyika makundi 4 kama iguatavyo:
1-Non Nucleoside Reverse Transctiptase inhibitors NNRTIs
2-Nucleoside Reverse Transcriptase Inhibitors NRTIs
3-Protease Inhibitors
4-Intergrase Inhibitors
Kwa Tanzania tunatumia combination ya 1 ,2 na 3 lakini kwa wenzetu ulaya wako more adance kwa kutumia aina hiyo ya 4 ambazo ni gharama sana na zenye side effect kidogo..Bure ghali na beggers are not choosers!Kama tunataka kuondokana na hili janga ARVs zianze kuuzwa kwenye private sector au pharmacies mtaona new brands ambazo ni bomba sana kuliko za serikali

Wanasayansi wanasema mpaka sasa hivi dawa zilizopo zinamaliza viral load inayoexist kwenye damu, lakini virusi vya HIV ni vijanja sana wakiona mashambulizi wanajificha kwenye cells na wanatoka kama mgonjwa au mwathirika ameacha kutumia dawa. Wakitoka wanakuwa na nguvu ya ziada na ile dawa uliyokuwa unatumia haiwezi kuwadhuru tena, ndiyo maana wanashauri usiache kutumia dawa hata kama viral load is unditectable. How ever kuna cases ambazo wanadai viral load wanalala moja kwa moja na hawaamki hata ukiacha kutumia dawa, especially hiyo dawa ya 4 uliyomention. Medical journal ya February nilisoma wanasema wanategemea sana natural human immune kufight ugonjwa, kama viral load ikiwa unditectable na CD4 zimefika 1,800 kuna dawa wanatoa inaboost natural immune system na itaweza kufight virusi vikiamka. Its is still a research though.
 
the only diference btn virus and bacteria is that virus are man made its posibly dawa ikawepo na ikafichwa watu wauzecondoms
 
Back
Top Bottom