Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
It is a simple co-incidence. PERIOD
Unaweza ukawa na point hapa! Watafiti wa mambo wa lishe na udaktari na wafanye utafiti. Katika kusoma kwangu shule ya msingi hadi UD, wengi wa watu wa Kilimanjaro, Bukoba na Mbeya walikuwa wanawaka sana darasani, mara nyingine kwa jinsi ya kutisha. Sasa nagundua kwamba hawa jamaa wana one thing in common - wanatoka mikoa yenye kulima ndizi!
Jamani, labda kula ndizi kunaongeza brain power!
Mara baada ya Uhuru mwaka 1961, serikali iliamuru shule ya st. Michael's and st. George's Iringa iliyokuwa mahususi kwa watoto wa kizungu ichukue pia vijana wa kiafrika waliokuwa na uwezo kuchuana na wale watoto wa kizungu; wengi wa wale waliochaguliwa kutokana na mitihani waliofanya nchi nzima walikuwa wa kutoka mikoa ya Mbeya, kilimanjaro na Kagera!!Ukweli ndio huo mpende msipende na ndio maana Nyerere alikuwa anawabania sana watu wa kutoka huko na kuwashabikia watu wa makabila madogo kwa kuogopa watamfunika!!
wanakwambia aaaa we huwezi ukanizalau hata kama we ni kiongozi mkubwa na unahela. Hivyo ni vitu vyako mwenyewe
Aaah, Mwakasendo! Huyu jamaa alikuwa judge nadhani. Nakumbuka kulikuwa na issue kubwa tu juu yake. Hebu tukumbushane jamani.
Hee, kweli nae jaji Mwakasendo alipata maradhi ya ajabu ajabu tukampoteza wakati huo kulikuwa na tetesi kuwa angekuwa CJ!!! Watawamaliza; watu wa Mbeya afadhali muamue nchi yenu iwe Malawi!!!
Unajua nimekuwa nafuatilia jinsi ambavyo hadi sasa nimeona watu wa Mbeya wanakuwa na mwamko sana katika kupigania haki za watu, sijui kama wana kitu fulani kinachowafanya wawe hivyo. Ajabu ni kwamba mara nyingi wanakuwa victimised
1. Gibson Mwaikambo - alitaka kujiengua CCM kuingia Chadema, akapata "accident" iliyomuua siku usiku wa wa kuamkia kutangaza kujivua gamba kuingia Chadema
2. Prof. Mwandosya - tunajua yasiyojulikana yaliyomkuta
3. Dr. Mwakyembe - Tunajua yale ambayo hakuyaweka wazi yaliyomkuta na jidihada zake
4. Dr. Ulimboka - tunajua yaliyomsibu
5. Mfianchi
mmh!huu ukabila sasa.kwa hili mwanJF Mwenzangu hata sikuungi mkono.ukishaanza kusema hivyo wasukuma,wahaya,wazaramo.....na sisi wangoni tukianza itakuwaje.tusife huko jamani.Watu wanaoweza kuiongoza hii nchi na kutupeleka kwenye nchi ya maziwa na asali ni wa kutoka mikoa mitatu tuu,MBEYA, KAGERA na KILIMANJARO nadhani hata kwenye baraza la mawaziri la sasa mnaona utendaji wao.
Labda Nyerere aliwabania hawa jamaa kwa sababu alijua tabia yao ya kubebana aka ukabila,wakipewa kitengo nyeti basi watajaza ndugu zao hata kama hawaqualify kushika hizo nafasi.
Mmhh...kuna kaukweli hapa. Sikuwahi kusoma na mtu kilaza kutoka mikoa hiyo kuanzia sekondari hadi chuo kikuu!!
Mimi MwaGwangambo nani zaidi. Ndi ifumu une! Sio kichwa cha Panzi.Ndo zetu sisi wa kule mbeya mimi mwenyewe naitwa MwaPombekali!