Hivi wanawake mna nini?

🤣
 
Kizuri kula na mwenzio shoo..ukitaka wa kwako chonga mgomba Bibi weeh..😂😂😂..kikubwa ana timiza wajibu Kama Mume ukitaka kuyajua mengine utakufwa na presha.
 
Mmmh! haya Mambo ya wakubwa me bado mdogo acha niende kojoa nikalale maana hamna namna.
 
Kizuri kula na mwenzio shoo..ukitaka wa kwako chonga mgomba Bibi weeh..😂😂😂..kikubwa ana timiza wajibu Kama Mume ukitaka kuyajua mengine utakufwa na presha.
Eti eh
 
Heeeeeeeeh huyo mwanaume hapana kafuzu viwango vya FIFA kwa umalaya. Khaaaaaah
 
Heeeeeeeeh huyo mwanaume hapana kafuzu viwango vya FIFA kwa umalaya. Khaaaaaah
Best hujakosea naishi hivyo hivyo kuliko kabisa ili mradi hanisumbui kichwa .
TUNAHESHIMIANA .
naukimwona hutajua ni malaya anaheshima sana ni anajiheshimu.
Ila cmu zake zinaita kama dalali.
 
Best hujakosea naishi hivyo hivyo kuliko kabisa ili mradi hanisumbui kichwa .
TUNAHESHIMIANA .
naukimwona hutajua ni malaya anaheshima sana ni anajiheshimu.
Ila cmu zake zinaita kama dalali.
Naweee nae khaaa unafurahia tyuuh hali hiyo? Hebu kuwa na msimamo mwaya, Linda na zuia ndoa yako kuingiliwa na vidampa wa nje. Ooooh utakuja shtuka too late shauri yako.
 
Hii script yangu umeiandika huku movie yangu isipouza nakuwowa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…