Maana nakuwaga na kama wiki mbli ivi libido inakuwa juu ajabu, then kama wiki moja ivi sina hamu na dem. Hivi ni kwangu tu au hata wengine? ARRRRRGH....
Alaf zile siku sina ham ndo 'opportunity' zinakuwapo kibao....
Maana nakuwaga na kama wiki mbli ivi libido inakuwa juu ajabu, then kama wiki moja ivi sina hamu na dem. Hivi ni kwangu tu au hata wengine? ARRRRRGH....
Alaf zile siku sina ham ndo 'opportunity' zinakuwapo kibao....
wajipa matumaini kuwa walikuwa hawajui:lol::lol::lol:kwa kweli kila mwanaume nahisi huwa inamtokea
hiyo hali ya kuwa huna shida sana na wanawake na wao wakawa wanakujia kwa nguvu....
i mean unapokuwa single ni ngumu kupata mwanamke....
but ukishapata mmoja,wengine wanakuwa easy
mimi nliwahi pata tatizo lilonifanya nisiweze ku sex kwa wiki nzima...
ndani ya hiyo wiki nzima,zaidi ya wanawake 6 walikuwa
wananitafuta kwa nguvu..,wengine ni ex gfs,wengine wapya kabisa...
tatizo lilipoisha,sikuwaona.as if walikuwa wanajua,but walikuwa hawajui...its funny...
wajipa matumaini kuwa walikuwa hawajui:lol::lol::lol:
hahaahahahahahahahah aaaaa mpemba,wanawakeeee.....sitaki kusema mengi ila ni zaidi ya unavyowafahamu.ha ha ha.basi walikuwa wachawi hivi..
maana tatizo lenyewe ni lile la mke wa mpemba.unakumbuka thread ya wapemba????
but seriously,nafikiri kuna kitu kuhusu wanawake wanavyoweza ku react na body language
ya mwanaume.....
hahaahahahahahahahah aaaaa mpemba,wanawakeeee.....sitaki kusema mengi ila ni zaidi ya unavyowafahamu.
basi ni pm hayo mengine...
halafu huwezi amini siwezi kupm hebu nifundishe wallah!!!
Hahaha shosti njoo nikufundishe mie ni period month hahaha:lol::lol::lol::lol: ingilish ya siku hizi sio mp!