Hivi wanaume mnakwama wapi jamani??


Hivi ile sheria ya takwimu bado ipo?
 
Ukiwa kama mwanamke basi tambua ilo ni jukumu lako kumuweka mumeo au mpenzi wako katika hali ya usafi na siyo kulalamika.
 
Ukiwa kama mwanamke basi tambua ilo ni jukumu lako kumuweka mumeo au mpenzi wako katika hali ya usafi na siyo kulalamika.
Kwa sababu gani? Kwa sababu mwanaume ndo anahudumia au? Na vipi kama mwanamke ndo anahudumia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…