Sasa nitapata kichaa!!
Tangu asubuhi ni matatizo tu.. nimeanza na Gwajima na Kova, nimekuja Tanesco na Mhando na Mbunge wetu, Nimesikitishwa kukosa kiwanja Gezaulole... Sasa hili tena... hivi kweli hii nji tutafika? yaani tuna mambo mengi kweli ya kusolve!!!
Mwambie aondoke bana...sasa tumshauri nini huyu naye!!