Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
inakuwaje mwanaume huwapendi watoto wako wa damu yako mke waweza mchukia lakini hadi watoto nimesikiliza hekaheka huyo baba alivyokua ana pesa lakini anamuachia mke wake sh 2000 ,wakati mwingine haachi hela kabsa,watoto wamelala anapuliza dawa ya kunguni kweli huo ubinadamu ukizingatia amemuachisha mkewe chuo na kazi hataki afanye bado anamnyanyasa anampiga na kumdhalilisha mbele ya wanae jamani inauma sana