johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Nakumbuka Maalim Seif asubuhi tulitangaziwa amefariki saa 4 tukawaona wako Msikitini Upanga Wanamswalia saa 8 wakawa Unguja wanamuaga na saa 11 akazikwa Pemba
Kwanini ilikuwa haraka vile au Waislamu mko tofauti tofauti kama Katoliki na Protestanti au Sabato?
Jumaa Mubarak
Kwanini ilikuwa haraka vile au Waislamu mko tofauti tofauti kama Katoliki na Protestanti au Sabato?
Jumaa Mubarak