GE2025 Hivi vyama pinzani vimeshamaliza kupiga kampeni au muda umekwisha?

GE2025 Hivi vyama pinzani vimeshamaliza kupiga kampeni au muda umekwisha?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitangaza kuwa kampeni rasmi za uchaguzi mkuu wa 2025 zilianza Agosti 28, 2025 na zinatarajiwa kukamilika Oktoba 27, 2025, siku mbili kabla ya kupiga kura.

Kwa hiyo, kisheria vyama vyote vilikuwa na muda sawa wa kujinadi kwa wapiga kura. Lakini kiuhalisia, mazingira yamekuwa tofauti CCM inaendelea na mikutano mikubwa katika mikoa mbalimbali, huku vingine vikionekana kimya au kutoonekana kabisa kuendelea na kampeni. Hata ACT tunawaona wamekazana kufanya kampeni Kigoma tu je, wameshakata tamaa mapema hii?
 
Mama amebakisha mikoa minne afunge kazi, Kagera, Katavi, Rukwa, Songwe na Dar. Vile vyama shikizi kampeni zao hazijulikani ziko wapi, hazina vibe, hazina nyomi, hazina mvuto. Ni vyama vyama vya msimu wa uchaguzi ukipita navyo hupotea na kubaki kwa msajili tu! Visubiri kusema uchaguzi ulikuwa huru, haki na demokrasia na kukubali vimeshindwa!
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitangaza kuwa kampeni rasmi za uchaguzi mkuu wa 2025 zilianza Agosti 28, 2025 na zinatarajiwa kukamilika Oktoba 27, 2025, siku mbili kabla ya kupiga kura.

Kwa hiyo, kisheria vyama vyote vilikuwa na muda sawa wa kujinadi kwa wapiga kura. Lakini kiuhalisia, mazingira yamekuwa tofauti CCM inaendelea na mikutano mikubwa katika mikoa mbalimbali, huku vingine vikionekana kimya au kutoonekana kabisa kuendelea na kampeni. Hata ACT tunawaona wamekazana kufanya kampeni Kigoma tu je, wameshakata tamaa mapema hii?
1760446818090.jpg
 
Back
Top Bottom