ninchojua mimi ni kuwa LOWASA hajatisha mtu bali alirejea tu kauli ya mwl NYERERE kuwa watu wakikosa mabadlikoya kweli ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM kitu ambacho ni kweli kabisa, cha msingi ni nyie kama chama kuhakisha mnachagua mtu anayeekubalika kma ni lowasa ,membe, magufuli , pinda n.k, bali ni muhimu kukumbuka kauli hyoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.