Hivi viongozi wangu haya makaa ya mawe mnayoyasafirisha kwenda India kwamba mmekosa njia mbadala na upeo wenu umeishia hapo?

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,331
4,857
Mmeshindwa hata kuwashawishi hao jamaa mnaowauzia waje wawekeze hata kiwanda cha kufua umeme ili kikabiriane na tatizo hili la mgao wa umeme? Au hamjui kama makaa ya mawe yanazalisha, umeme? au hela nnazolipwa mnapiga cha juu na kununua maroli na mabasi na kujenga mavituo ya mafuta imewanoga, kwa hiyo mnaona raha mkinunua lori, halafu mkapewa tenda za kubeba tena hayo makaa ya mawe basi mnajiona mmemaliza maisha mmekaa mnajiona wakubwa wenyewe na kujisifu ujinga hivi mnajua kama hizo roli zitaalibika madarakani mtatoka na makaa ya mawe yataishi na uzee utawafika na mtafilisika?

Hivi mmeshawahi kuwaza hao watoto wenye wajukuu zenu, watakuta mashimo na hapatakuwa na pakufisadi nao wakanunua maroli, viongozi wangu mnatumia akili gani kuwaza na ndio mana mpaka leo bado mnaongelea kujenga madarasa na mahospitali hizo ni akili fupi mlizonazo.

NB natamani sana nipate nafas yoyote ndani ya nchi hiyi niwafundishe jinsi ya kutumia raslimali zenu kwa manufaa na sio porojo zenu mnazotuletea
 
mmeshindwa hata kuwashawishi hao jamaa mnaowauzia waje wawekeze hata kiwanda cha kufua umeme ili kikabiriane na tatizo hili la mgao wa umeme? au hamjui kama makaa ya mawe yanazalisha, umeme? au hela nnazolipwa mnapiga cha juu na kununua maroli na mabasi na kujenga mavituo ya mafuta imewanoga, kwahiyo mnaona raha mkinunua roli, alafu mkapewa tenda za kubeba tena hayo makaa ya mawe basi mnajiona mmemaliza maisha mmekaa mnajiona wakubwa wenyewe na kujisifu ujinga hivi mnajua kama hizo roli zitaalibika madarakani mtatoka na makaa ya mawe yataishi na uzee utawafika na mtafilisika,? hivi mmeshawahi kuwaza hao watoto wenye wajukuu zenu, watakuta mashimo na hapatakuwa na pakufisadi nao wakanunua maroli,, viongozi wangu mnatumia akili gani kuwaza na ndio mana mpaka leo bado mnaongelea kujenga madarasa na mahospitali hizo ni akili fupi mlizonazo NB natamani sana nipate nafas yoyote ndani ya nchi hiyi niwafundishe jinsi ya kutumia raslimali zenu kwa manufaa na sio porojo zenu mnazotuletea
Si fanya wewe, fursa hiyo.
 
Ukiwa Songea Fleet ya Trucks zinazosafirisha Makaa ya Mawe utadhani Nchi hii ni tajiri kupindukia
hayo maroli ni ya kwao tena naweza kukutajia viongoz wote wenye hayo malori ni aibu sana yaan wamejenga barabara ili wasafilishe alafu anatokea kiongoz anasimama jukwaan na kuanza nyoko nyoko kumbe kichwan empty hamna kitu madalaka tu ndio yamewapa heshima, juz kat hapa nimetoka bishana na wazir mmoja hv nikampiga maswali hapo ndipo nikagundua kwenye vichwa vyao uwezo wa kufikiri viongoz wetu ume limit
 
Mmeshindwa hata kuwashawishi hao jamaa mnaowauzia waje wawekeze hata kiwanda cha kufua umeme ili kikabiriane na tatizo hili la mgao wa umeme? Au hamjui kama makaa ya mawe yanazalisha, umeme? au hela nnazolipwa mnapiga cha juu na kununua maroli na mabasi na kujenga mavituo ya mafuta imewanoga, kwa hiyo mnaona raha mkinunua lori, halafu mkapewa tenda za kubeba tena hayo makaa ya mawe basi mnajiona mmemaliza maisha mmekaa mnajiona wakubwa wenyewe na kujisifu ujinga hivi mnajua kama hizo roli zitaalibika madarakani mtatoka na makaa ya mawe yataishi na uzee utawafika na mtafilisika?

Hivi mmeshawahi kuwaza hao watoto wenye wajukuu zenu, watakuta mashimo na hapatakuwa na pakufisadi nao wakanunua maroli, viongozi wangu mnatumia akili gani kuwaza na ndio mana mpaka leo bado mnaongelea kujenga madarasa na mahospitali hizo ni akili fupi mlizonazo.

NB natamani sana nipate nafas yoyote ndani ya nchi hiyi niwafundishe jinsi ya kutumia raslimali zenu kwa manufaa na sio porojo zenu mnazotuletea
Mkuu; Kwa nini ufuge ng'ombe wakati Unao uwezo wa kununua maziwa?
Uza makaa ya mawe kisha tumia hiyo fedha utakayopata kwa shughuli nyingine ya maendeleo.
Nionavyo mimi hoja-kero hapa isiwe ni kuuzwa kwa makaa bali iwe Matumizi mabovu ya Pato la kifedha kutokana na uuzwaji wa makaa ya mawe.
 
Mkuu; Kwa nini ufuge ng'ombe wakati Unao uwezo wa kununua maziwa?
Uza makaa ya mawe kisha tumia hiyo fedha utakayopata kwa shughuli nyingine ya maendeleo.
Nionavyo mimi hoja-kero hapa isiwe ni kuuzwa kwa makaa bali iwe Matumizi mabovu ya Pato la kifedha kutokana na uuzwaji wa makaa ya mawe.
kwa mimi sion sababu ya kuuza makaa ya mawe kwa mimi naona fursa nyingi ndani ya hayo makaa ya mawe kwanza ningetengeneza mausafir yenye kutumia makaa ya mawe kama gari, pikipiki, ambazo zingetengenezwa na kutumika hapa ndani pili kiwanda cha umeme kingezalisha umeme na kuuza ndani na nje ya nchi za afrika tatu ningetengeneza siraha moja hatar kuwai kutokea duniani kwa kutumia makaa ya mawe na madini ya ureniam unajua ningetumia mifumo gani kuwezesha hili? Siwez kukupa sir sababu akili yako imewaza kununua maziwa na kusahau kunasiku mwenye ng'ombe atakosa kutoa hayo maziwa na atabak na ng'ombe wake na wewe utabaki na hela yako ambayo itakuwa haina msaada kwako
 
Kiwira Coal Mine, walikuwa wanachimba makaa ya mawe na kuzalisha umeme wa makaa.

Mgodi ulishajifia hata mitambo imelala hazalishi umeme
 
Mmeshindwa hata kuwashawishi hao jamaa mnaowauzia waje wawekeze hata kiwanda cha kufua umeme ili kikabiriane na tatizo hili la mgao wa umeme? Au hamjui kama makaa ya mawe yanazalisha, umeme?
Matatizo ya watanzania ni mtaji kwa viongozi, umeshawahi kusikia beii ya hayo makaa huko wanakouza na nchi inapata shilingi ngapi na zinafanya kazi gani?
 
Back
Top Bottom