Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 9,161
- 24,269
Mkuu wewe umejaribu hivi na imefanya kazi labda?Kutafuta pesa,kuwa na nidhamu ya kidogo unachopata,kuwekeza kwenye vitu vitakavyokuongezea kipato chako zaidi.
Mkuu wewe umejaribu hivi na imefanya kazi labda?Kutafuta pesa,kuwa na nidhamu ya kidogo unachopata,kuwekeza kwenye vitu vitakavyokuongezea kipato chako zaidi.
Hii inaweza kufanya kazi ,japo hapo kwenye ndugu ni changamoto nyingine.1.Know how to make money
2.How to manage money
3.know how to invest money
Anzia ulipo bro namna gani unaweza kuibadilisha hamsini kuwa mia mbili fanya hivyo kwa siku, wiki, mwezi, mpaka mwaka uje na mrejesho
NB. Ndugu wasiwe kwenye ratiba zako za matumizi just assume upo wewe mwenyewe hapa duniani huna msaada utakaopewa wala husaidii watu. Karibu ujoin the winning team of upcoming billionaire...goodlucky bro.
Huoni graduates wamejazana tu ni majoblessMkuu kivipi?
Sasa wewe Kunguru wa Manzese , mambo ya elimu utayaelewaje? Elimu ndiyo namba moja FYIHapo kwenye elimu ondoa
Haina kazi tena sikuhizi
Ebu nieleze unaanzaje kuwaepuka?Na uepuke Totos we mzee
Nchi yako ina educated wengi wanaishi kwenye hali za kimaskini hawana kazi za kuelewekaSasa wewe Kunguru wa Manzese , mambo ya elimu utayaelewaje? Elimu ndiyo namba moja FYI
Elon Musk ndiye the richest guy on the Planet (300 USD). Tell me if he isn't uneducated.
Sijui ila unaweza ukapiga punyetoEbu nieleze unaanzaje kuwaepuka?
Naunga mkonoArdhi ndio yenye Mali...pambana na ardhi juu yake na ndani mwake Kuna utajiri mkubwa Sana
Hiyo dhana ya college dropout ndiyo inakupotosheni. Kuacha chuo haina maana ya kukataa elimu au kuacha kusoma.Nchi yako ina educated wengi wanaishi kwenye hali za kimaskini hawana kazi za kueleweka
Sasa hapo elimu ina faida gani
Ukizungumzia matajiri wa nje wengi walikuwa collage dropout Kama kina Zuckerberg na wengineo
1. UgangaHua natafakari kila uchao kua hivi ilikuaje watu wakawa na magari mengi mfano malory, nyumba zaidi ya 1 uku wengi wakiwa hata mlo mmoja shida kwa siku.
Kwamba kuna vijikanuni? Je kanuni Zake zikoje?
6.kipaji eg football, musician,bondia etc1. Urithi
2. Bahati + special blessing
3. Madili, utapeli, wizi
4. Bidii na elimu
5. Superstition (Freemason, Waganga wa Kigoma, Wakinga, Sumbawanga, Kongo, etc)
100% Agreed ...Hiyo dhana ya college dropout ndiyo inakupotosheni. Kuacha chuo haina maana ya kukataa elimu au kuacha kusoma.
Those guys simply refused what they didn’t want in their education, and focused and concentrated all their energies and intelligences and efforts on what they liked the most. And it always pays.
You'll be the most ignorant individual to think that Mark Zuckerberg or Bill Gates or Steve Jobs were successful because they were UNEDUCATED!
With these poignant ideas unazoleta, I'm even beginning to doubt whether you are actually human.
We mwenyewe kwa ubongo wako sidhani upo sawa kuna matajiri wengi tu hawajasoma mbona unapenda ubishiHiyo dhana ya college dropout ndiyo inakupotosheni. Kuacha chuo haina maana ya kukataa elimu au kuacha kusoma.
Those guys simply refused what they didn’t want in their education, and focused and concentrated all their energies and intelligences and efforts on what they liked the most. And it always pays.
You'll be the most ignorant individual to think that Mark Zuckerberg or Bill Gates or Steve Jobs were successful because they were UNEDUCATED!
With these poignant ideas unazoleta, I'm even beginning to doubt whether you are actually human.