Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,626
- 22,004
Hapo kwa mkapa inavyoonekana toka mama Samia aingie madarakani hamna kipa aliefungwa magoli mengi kama aishi manulaYani lile shambuliaji lilivoingia na ule mpira kwa staili ile,nami nikajua tu hili jitubaya pale haliwezi kukosa hata kidogo,ilionekana tu lile jitu lishazoea kufunga magoli kwenye ligi kubwa,niliona tu jinsi miondoko yake ilivyo ya kizoefu Mara likafumua kwa ufundi lile gozi,binafsi nimefurahi ule upigaji wa ule mpira ulioenda nyavuni,ijapokuwa inauma kupigwa...sisi kila siku tutakua ni watu wa kujifunza tu...
Nimeshangaa kutolewa DismasUnamtoa Novatus Dismass unamuingiza Kibu Deniss.
😂 😂Nyie mnaosema mwenda kacheza vizuri mpira mliangalilia wapi?
Yaan wachezaji wawili tu? Kikosi si kinapaswa kuwa kipana? Inatakiwa kikosi kiwe kizuri kiasi kwamba hata kocha hajui ampange nani amuache nani na siyo kuwaza tutapata wapi wa kucover namba fulaniKuna hawa vijana wawili waliingia mwishoni, akina Meshack
Km tukiwaamini wataaminika,
Mchezaji, unamuona tu anavyocheza unajua hapa hamna kitu
Namba za pembeni anacheza mfupi au mrefu...unamjua Roberto carlos,Taribo west,Rafael wa Man Utd hawa walikuwa hawa kutani na timu zina watu warefu kama kina crouch?Wachzaji wa Benini ni warefu, kocha alitakiwa awapange wachezaji warefu hasa mabeki.
Kibwana Shomari ni mfupi mno,
Hebu fikirieni kama wachezaji wanatumia mipira juu, kona na krosi.
Ni bora namba mbili acheze hata Kennedi Juma.
Kwani mwenda ni nani asitolewe?Hili Kocha Paulsen sijui lina nini Kichwani. Halafu amemtoa tena Mshambuliaji mahiri Tanzania nzima John Boko na Kumuingiza Mshamba Lusajo.
Kudadeki bora tufungwe tu Benin na kuanzia sasa nashangilia Benin. Mtu kama Feisal Salum ( Fei Toto ) anaharibu na Kurukaruka tu lakini hatolewi.
Nitashangilia Taifa Stars pale tu katika First Eleven wakiwepo Wachezaji wa Simba, Azam, Namungo na siyo wa Yanga SC ambao ndiyo Wametufungisha leo kwani hawajui Mpira.
Kocha Paulsen afukuzwe / aondoke.
Tanzania yako imeshinda Mechi? Pumbavu.
Acha kufananisha V8 na Vitz Kiuwezo sawa?Namba za pembeni anacheza mfupi au mrefu...unamjua Roberto carlos,Taribo west,Rafael wa Man Utd hawa walikuwa hawa kutani na timu zina watu warefu kama kina crouch?
Wakicheza simba watupu ndio utaridhika we nyang'au.....akili za wabongo bhana ndio maana timu ya taifa imekaa kama picha😂😂😂Acha kufananisha V8 na Vitz Kiuwezo sawa?
Kwahiyo lile goli lilikuwa kutokana na ufupi wa mabeki?Wachzaji wa Benini ni warefu, kocha alitakiwa awapange wachezaji warefu hasa mabeki.
Kibwana Shomari ni mfupi mno,
Hebu fikirieni kama wachezaji wanatumia mipira juu, kona na krosi.
Ni bora namba mbili acheze hata Kennedi Juma.
Kwahiyo unamlinganisha Roberto Carlos na Kibwana.Namba za pembeni anacheza mfupi au mrefu...unamjua Roberto carlos,Taribo west,Rafael wa Man Utd hawa walikuwa hawa kutani na timu zina watu warefu kama kina crouch?
Wewe nae akili huna boko toka lini alikuwa mshambuliaji mahiri?Hili Kocha Paulsen sijui lina nini Kichwani. Halafu amemtoa tena Mshambuliaji mahiri Tanzania nzima John Boko na Kumuingiza Mshamba Lusajo.
Kudadeki bora tufungwe tu Benin na kuanzia sasa nashangilia Benin. Mtu kama Feisal Salum ( Fei Toto ) anaharibu na Kurukaruka tu lakini hatolewi.
Nitashangilia Taifa Stars pale tu katika First Eleven wakiwepo Wachezaji wa Simba, Azam, Namungo na siyo wa Yanga SC ambao ndiyo Wametufungisha leo kwani hawajui Mpira.
Kocha Paulsen afukuzwe / aondoke.
Umekumbuka leo Kumeza Kidonge chako cha Ugonjwa wa Uwendawazimu ( Utahaira ) ulionao muda mrefu tu au umesahau?Wewe nae akili huna boko toka lini alikuwa mshambuliaji mahiri?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app