kinda kibu denis alihamia akiwa na miaka 6 mwaka 1996 Amezaliwa 2000 ana miaka 21...siku anatambulishwa hadi mitandao Ya kijamii ilizima kwa mshangao.Benin wako bora zaidi yetu, naona umefika muda wazee wote Taifa Starz wastaafishwe kwa manufaa ya taifa, hao kina Kibu Denis ndio wachukue nafasi.
Ukweli ni kuwa mwenda pia nae alizidiwa sana half time mipira ilikuwa inapita kwake hata lile shambulizi walilotukosa kosa lilipita kwa mwenda.Nyie mnaosema mwenda kacheza vizuri mpira mliangalilia wapi?
Pia inaonekana timu haiko organisedUkweli ni kuwa mwenda pia nae alizidiwa sana half time mipira ilikuwa inapita kwake hata lile shambulizi walilotukosa kosa lilipita kwa mwenda.
Manura kwa sasa awekwe benchi kwani amekuwa akifungwa mashuti ya mbali hovyo.
Tumewazidi Benin kila kitu wao walikuwa wanazuia zaidi ila wamefanya kweli nafasi moja waliyopata. Na ubovu wa manura unachangia.
Kocha Kim tukiendelea nae hivi atatusaidia sana.
Mastriker wetu wajitafakari kwa kweli maana wametukosesha ushindi.
Wabongo tunajifanya wajuaji sana kama hilo popoma. Na menzie wakati hayana hata diploma ya soka.
Muda mchache wa kukaa kambini na kila siku ni kikosi kipya.Pia inaonekana timu haiko organised
Tumeuangalia nyumbani kwa Mo!Nyie mnaosema mwenda kacheza vizuri mpira mliangalilia wapi?
Hili Kocha Paulsen sijui lina nini Kichwani. Halafu amemtoa tena Mshambuliaji mahiri Tanzania nzima John Boko na Kumuingiza Mshamba Lusajo.
Kudadeki bora tufungwe tu Benin na kuanzia sasa nashangilia Benin. Mtu kama Feisal Salum ( Fei Toto ) anaharibu na Kurukaruka tu lakini hatolewi.
Nitashangilia Taifa Stars pale tu katika First Eleven wakiwepo Wachezaji wa Simba, Azam, Namungo na siyo wa Yanga SC ambao ndiyo Wametufungisha leo kwani hawajui Mpira.
Kocha Paulsen afukuzwe / aondoke.
Pumbavu mkubwa wee! Hata timu ya darasa lako hujawahi kufikiriwa unawazaje mambo ya kitaifa kama siyo kichaa kimepanda kichwani!Hili Kocha Paulsen sijui lina nini Kichwani. Halafu amemtoa tena Mshambuliaji mahiri Tanzania nzima John Boko na Kumuingiza Mshamba Lusajo.
Kudadeki bora tufungwe tu Benin na kuanzia sasa nashangilia Benin. Mtu kama Feisal Salum ( Fei Toto ) anaharibu na Kurukaruka tu lakini hatolewi.
Nitashangilia Taifa Stars pale tu katika First Eleven wakiwepo Wachezaji wa Simba, Azam, Namungo na siyo wa Yanga SC ambao ndiyo Wametufungisha leo kwani hawajui Mpira.
Kocha Paulsen afukuzwe / aondoke.
Kazi aliyoifanya manula hujaiona..? Tumia akili yako sawa sawa. Acha ushabiki maandazi. Beki zilipwaya mpigaji akaliona lango.lote na akapiga mkwaju sehemu mbaya kwa kipa afu una amka na ushabiki wako eti hatuna kipa .?Hata hivyo tuna kipa pazia kwa kweli! Benin wameshambuliwa sana ila kwa kuwa wana kipa bora hawajaweza kufungwa! Yule kipa wetu ni shati pia
Hata kipindi cha kwanza alipokwepo huyo Mwenda, Benini walifanya mashumbulizi mengi sana tena ya hatari kuliko hata kipindi cha pili lakini Manula alifanya kazi ya ziada kuokoa michomo. Acha kuwa na mahaba na mchezaji mmoja mmoja. Wewe mpumbavu wa JFHili Kocha Paulsen sijui lina nini Kichwani. Halafu amemtoa tena Mshambuliaji mahiri Tanzania nzima John Boko na Kumuingiza Mshamba Lusajo.
Kudadeki bora tufungwe tu Benin na kuanzia sasa nashangilia Benin. Mtu kama Feisal Salum ( Fei Toto ) anaharibu na Kurukaruka tu lakini hatolewi.
Nitashangilia Taifa Stars pale tu katika First Eleven wakiwepo Wachezaji wa Simba, Azam, Namungo na siyo wa Yanga SC ambao ndiyo Wametufungisha leo kwani hawajui Mpira.
Kocha Paulsen afukuzwe / aondoke.
Na hakuna madogo tunaoona wakiandaliwa kuchukua hii mikoba. Yaan hata sisi twiga stars tunawazidi aisee. Huwaga hakuna mwendelezo kabisa wa kila jambo kwa tz yetuHawa akinq BOKO..wameshajichokea
Mtu kona anakatia mita 10 mbele
Usimba unakuchanganya kocha siyo mjinga kufanya mabadiliko hayo .Wacha kocha afanye kazi yake kwa uhuruHili Kocha Paulsen sijui lina nini Kichwani. Halafu amemtoa tena Mshambuliaji mahiri Tanzania nzima John Boko na Kumuingiza Mshamba Lusajo.
Kudadeki bora tufungwe tu Benin na kuanzia sasa nashangilia Benin. Mtu kama Feisal Salum ( Fei Toto ) anaharibu na Kurukaruka tu lakini hatolewi.
Nitashangilia Taifa Stars pale tu katika First Eleven wakiwepo Wachezaji wa Simba, Azam, Namungo na siyo wa Yanga SC ambao ndiyo Wametufungisha leo kwani hawajui Mpira.
Kocha Paulsen afukuzwe / aondoke.
Mtapata tabu sana na Simba yenu.Ugonjwa huo mtaugua kwa kipindi kisichojulikanaSijawahi kuona ukabaji mbovu kama ule
Kamuachia striker goli zima aamue wapi pa kupiga
Haya ndio madhara ya kuwa na wachezaji kwenye timu ya taifa ambao hawajawahi hata kucheza raundi ya pili ya kufuzu CAF champions league.
WameshasahauSi mlisema mumetoa tisa first eleven
Hyo kipa yeye anadakia timu ya ndondo au.