Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,261
- 28,423
Sasa unalipia kuununua, tulikuwa tunanunua bure ni sawa na malipo unayolipa kutoa pesa benki au kwenye simu.Habari za jioni wandugu! Napenda kuelewa je Tanesco wamepandisha bei ya umeme kwani nyuma kidogo umeme wa 8,000 nilikuwa napata unit 65 ila leo nimenunua nimepa unit 57 kwa bei hiyohiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app