Gurudumu JF-Expert Member Feb 5, 2008 2,349 261 Nov 16, 2010 #1 Sielewi kwa nini Mnyaa aliomba nafasi zote mbili halafu anakuja kujitoa wakati wa kujieleza. Pia anajitoa unaibu spika, ana uhakika gani kuwa atakujakuchaguliwa kuwa mbunge wa SADC?
Sielewi kwa nini Mnyaa aliomba nafasi zote mbili halafu anakuja kujitoa wakati wa kujieleza. Pia anajitoa unaibu spika, ana uhakika gani kuwa atakujakuchaguliwa kuwa mbunge wa SADC?
L Lorah JF-Expert Member Aug 22, 2008 1,193 202 Nov 16, 2010 #2 yani ninasikia kulia hawa watu wanachezea haki yangu huko Bungeni nasikia kujitoa kafara ili nikaonane na Mungu nimuulize tumemkosea nini
yani ninasikia kulia hawa watu wanachezea haki yangu huko Bungeni nasikia kujitoa kafara ili nikaonane na Mungu nimuulize tumemkosea nini
Gurudumu JF-Expert Member Feb 5, 2008 2,349 261 Nov 16, 2010 Thread starter #3 Lorah said: yani ninasikia kulia hawa watu wanachezea haki yangu huko Bungeni nasikia kujitoa kafara ili nikaonane na Mungu nimuulize tumemkosea nini Click to expand... Kujitoa kafara tena? Hayo makubwa mwaya!
Lorah said: yani ninasikia kulia hawa watu wanachezea haki yangu huko Bungeni nasikia kujitoa kafara ili nikaonane na Mungu nimuulize tumemkosea nini Click to expand... Kujitoa kafara tena? Hayo makubwa mwaya!