Mbuzimtu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 355
- 178
Leo ni takribani siku ya NNE tangu kipyenga cha kampeni kifunguliwe. Mpaka sasa magufuli kazunguka mikoa kadhaa kwa kushirikiana na mgombea mwenza wake. Ukawa bado hawajazindua kampeni na hata huku mikoani bado wako tuli!. Kwa namna hii so mtakuta magufuli kashinda kwani mpaka sasa hana mpinzani huko field?