Mmakua Mmakonde
Member
- Aug 23, 2016
- 61
- 144
Nimeangalia taarifa ya habari jana na kumuona Waziri wa Tamisemi akiwa ametembelea hiko kituo na kuelezwa hasara na uharibifu mkubwa uliojitokeza kutokana na kituo hiko kuzingira na maji yaliyotoka mto Msimbazi uliopo mita chache kutoka kwenye kituo hiko.
Swali ambalo nilitarajia kulisikia kwa Mh waziri na hakuliuliza ni kuwa ni Nani aliyehusika kufanya utafiti wa madhara ya kimazingira yanayoweza kujitokeza kutokana na ujenzi wa kituo hiko?.
Na kwa nn asiwajibishwe kwa hasara iliyojitokeza maana wahusika walitanabaisha kuwa zaidi ya mabasi 30 yameharibika na wanasubiri vipuri kutoka Japani.
Na ninavyofahamu ni kwamba serikali ina mkono wake kwenye hii kampuni hivyo ina chembe za umma ndani yake.
Swali ambalo nilitarajia kulisikia kwa Mh waziri na hakuliuliza ni kuwa ni Nani aliyehusika kufanya utafiti wa madhara ya kimazingira yanayoweza kujitokeza kutokana na ujenzi wa kituo hiko?.
Na kwa nn asiwajibishwe kwa hasara iliyojitokeza maana wahusika walitanabaisha kuwa zaidi ya mabasi 30 yameharibika na wanasubiri vipuri kutoka Japani.
Na ninavyofahamu ni kwamba serikali ina mkono wake kwenye hii kampuni hivyo ina chembe za umma ndani yake.