Hivi uhakiki bado tu au ilikuwa gia tu ya kutunyima ajira?

weee umeona watu wana stress za ajira umeamua kuwarusha roho tu wenzio
 
itakuwa jambo la heri sana mkuu,
vijana katumikieni taifa sasa kwa moyo wa uzalendo na kutanguliza masilahi ya taifa na sio masilahi binafsi
 
We ni msemaji au unatafuta comment zetu
 
You have been asked source of information by JF members, you didnt provide vivid evidence..., SASA tukueleweje....
weka waziiii kijana.
si kila kitu lazima kiwe na source acha kukalili ww siyo form one nisemacho kweli wengine wameanza kuitwa kurudi kazini leo ww zubaa kalia majungu
 
Muongo huyu mm ni mmojawapo wawaathrika na. Nimefanya mawasiliano na wahusika wanasema tungoje kam two weeks hivi
 
Da..., akili za mbayuwayu.............changanya na zako...Ngoja ntawauliza washkaji nikitoka kupiga wali dagaa mixer harage.., NIMEKUSOMA...Waziiiiiiiiiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…