Salaam, Shalom!!
Nilipokuwa katika ziara ya Utalii wa ndani, nimekumbana na kero hii ya magugu maji ziwa NYANZA. Ziwa NYANZA lilikua ziwa la kuvutia sana.
Wataalam wasema, haya magugu ziwa NYANZA hayakuwepo miaka ya nyuma, ni mradi umetokea miaka ya hivi karibuni,
Serikali na wanavijiji kuzunguka ziwa NYANZA wamekuwa wakihangaika kutokomeza magugu hayo.
Magugu hayo yamechangia kupunguza kuzaliana Kwa Samaki ziwa NYANZA Kwa kadri siku zinavyoenda. Historia ya Kutokea magugu hayo ziwa NYANZA inasemaje na hatua zipi zinachukuliwa kukabiiana na uharibifu huo wa kutengeneza?
Swali: Ni nani waliyehusika kupandikiza magugu ziwa NYANZA?
Na wakibainika, ni Bora washtakiwe, walipe fidia, na wayaondoe Kwa gharama zao, ni akina nani hao?
Karibuni 🙏
Nilipokuwa katika ziara ya Utalii wa ndani, nimekumbana na kero hii ya magugu maji ziwa NYANZA. Ziwa NYANZA lilikua ziwa la kuvutia sana.
Wataalam wasema, haya magugu ziwa NYANZA hayakuwepo miaka ya nyuma, ni mradi umetokea miaka ya hivi karibuni,
Serikali na wanavijiji kuzunguka ziwa NYANZA wamekuwa wakihangaika kutokomeza magugu hayo.
Magugu hayo yamechangia kupunguza kuzaliana Kwa Samaki ziwa NYANZA Kwa kadri siku zinavyoenda. Historia ya Kutokea magugu hayo ziwa NYANZA inasemaje na hatua zipi zinachukuliwa kukabiiana na uharibifu huo wa kutengeneza?
Swali: Ni nani waliyehusika kupandikiza magugu ziwa NYANZA?
Na wakibainika, ni Bora washtakiwe, walipe fidia, na wayaondoe Kwa gharama zao, ni akina nani hao?
Karibuni 🙏