Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Nipo natazama kipindi cha Zamadamu, kinachorushwa na TBC1 wametembelea makumbusho mjini Arusha, kilichonishangaza ni huyu muhusika wa makumbusho anavyotoa maelezo ya uongo, kuna huyu mnyama anaitwa Eland jamaa kasema anaitwa Kudu na kuna mwingine anaitwa Heeterbeast amesema ni Impala, jamani ni elimu finyu au bora liende? au ndio zile ajira za kupewa na mjomba?...kaziii kweli