Hivi tatizo la ajira nchini

Hivi tatizo la ajira nchini

Joined
May 29, 2014
Posts
83
Reaction score
23
Nani mchawi...ni mwaka sasa tangu nimalize chuo, nimeitwa kwenye interview nyingi ila sijabahatika kuchaguliwa. Sasa watu wengine wananishauri niende kwa mganga. Hivi sangoma anaweza fanya chochote?

Nishaurini
 
Nani mchawi...ni mwaka sasa tangu nimalize chuo, nimeitwa kwenye interview nyingi ila sijabahatika kuchaguliwa. Sasa watu wengine wananishauri niende kwa mganga. Hivi sangoma anaweza fanya chochote? Nishaurini
Kuwa na subira tu kijana,hata mie nilikuwa kama wewe
 
Nani mchawi...ni mwaka sasa tangu nimalize chuo, nimeitwa kwenye interview nyingi ila sijabahatika kuchaguliwa. Sasa watu wengine wananishauri niende kwa mganga. Hivi sangoma anaweza fanya chochote? Nishaurini
Bhuahahahahaha nenda tu mkuu
 
Haha watu hawajaajiriwa miaka zaidi ya 3 we mmoja tu ushaanza kua na imani ndogo......sangoma atakusaidia nn sasa
 
Nani mchawi...ni mwaka sasa tangu nimalize chuo, nimeitwa kwenye interview nyingi ila sijabahatika kuchaguliwa. Sasa watu wengine wananishauri niende kwa mganga. Hivi sangoma anaweza fanya chochote?

Nishaurini
Msaada wa tatizo lako ni kumtegemea Mungu na siyo kwa mganga wa kienyeji. Sali sana na uamini kwamba kile unachoomba kwa Mungu utafanikiwa.
 
Back
Top Bottom