Hivi Tanzania tunahitaji Tsh ngapi ili tache Kukopa na Kusaidiwa? Maana wakati mwingine hadi aibu

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Juzi juzi nikaona kwenye habari TBA wanajenga jengo lao kwa mkopo kutoka World bank kama sikosei, na ghalama iliyotajwa ni billion chache tu,Nikajiuliza hadi ofisi tu mkopo Worldbank??

Swali ambalo linaweza lisieleweke kwa wengi, Hivi Tanzania Tunahitaji TSH ngapi iti tusikope tena wala kupewa misaada hadi kwenye vitu vya kawaida?

Nikiangalia Budget zetu, Naona ni ndogo kuliko mahitaji na bado hazitoshi.


Hivi Tanzania Tunahitaji TSH ngapi ili Tusikope tena, Tusiombe misaada ovyo, Tulipe deni letu lote na Tutosheleze mahitaji yetu?
 
Unataka kusaidi kulipa mkuu?
Ok ngoja wanakuletea takwimu fasta utulipie
Ahsante sana mkuu
 
Juzi juzi nikaona kwenye habari TBA wanajenga jengo lao kwa mkopo kutoka World bank kama sikosei, na ghalama iliyotajwa ni billion chache tu,Nikajiuliza hadi ofisi tu mkopo Worldbank??

Swali ambalo linaweza lisieleweke kwa wengi, Hivi Tanzania Tunahitaji TSH ngapi iti tusikope tena wala kupewa misaada hadi kwenye vitu vya kawaida?

Nikiangalia Budget zetu, Naona ni ndogo kuliko mahitaji na bado hazitoshi.


Hivi Tanzania Tunahitaji TSH ngapi ili Tusikope tena, Tusiombe misaada ovyo, Tulipe deni letu lote na Tutosheleze mahitaji yetu?
Hakuna taifa duniani lisilo na madeni na hakuna taiga lisilokopa

Labda hoja yako ijikite katika kuwa na mkopo unaotumika na tija ikaonekana lakini pia kupunguza mzigo wa madeni
 
Juzi juzi nikaona kwenye habari TBA wanajenga jengo lao kwa mkopo kutoka World bank kama sikosei, na ghalama iliyotajwa ni billion chache tu,Nikajiuliza hadi ofisi tu mkopo Worldbank??

Swali ambalo linaweza lisieleweke kwa wengi, Hivi Tanzania Tunahitaji TSH ngapi iti tusikope tena wala kupewa misaada hadi kwenye vitu vya kawaida?

Nikiangalia Budget zetu, Naona ni ndogo kuliko mahitaji na bado hazitoshi.


Hivi Tanzania Tunahitaji TSH ngapi ili Tusikope tena, Tusiombe misaada ovyo, Tulipe deni letu lote na Tutosheleze mahitaji yetu?


Hilo haliwezekani kwa sasa, kama AK au Uchina yenyewe bado inapata development aid kwa kiasi fulani ktk Nchi zilizoendelea ije kuwa Tanzania?
 
Tanzania wanapenda kukopa mpaka wanataka wahakikishe wamekifikia kibao kilichoandikwa no kukopa ndipo wataridhika bila hivyo wataendelea kukopa mpaka Yesu anarudi.
 
Back
Top Bottom