Hivi Tanzania inaelekea wapi????

Hivi Tanzania inaelekea wapi????

kamanzi

Senior Member
Joined
Oct 28, 2007
Posts
100
Reaction score
23
WAkati maisha yanazidi kuwa mabovu au kama wasemavyo wenye hekima, kila kukicha heri jana kuliko leo, Watanzania wanazidi kunitatiza.

Ukiangalia vyama, badala ya kuangalia uwezekano wa kuweka sera zinazoinua maisha ya mtanzania, vyote vimejiunga na CCM pamoja na Sheikh mkuu kuiponda CHADEMA.

Wakati huo huo wabunge na mawaziri wanashindana na wananchi waliokata tamaa kukikimbilia kikombe cha Babu loliondo.

Huku nyuma Ikulu, JK bado anapokea ushauri wake mkuu toka kwa Sheikh Yahaya.

Nazidi kujiuliza, hivi hii nchi inaelekea wapi? Maana Vipofu hawawezi kuongoza vipfu wenzao, wote wataishia shimoni!!
 
WAkati maisha yanazidi kuwa mabovu au kama wasemavyo wenye hekima, kila kukicha heri jana kuliko leo, Watanzania wanazidi kunitatiza.

Ukiangalia vyama, badala ya kuangalia uwezekano wa kuweka sera zinazoinua maisha ya mtanzania, vyote vimejiunga na CCM pamoja na Sheikh mkuu kuiponda CHADEMA.

Wakati huo huo wabunge na mawaziri wanashindana na wananchi waliokata tamaa kukikimbilia kikombe cha Babu loliondo.

Huku nyuma Ikulu, JK bado anapokea ushauri wake mkuu toka kwa Sheikh Yahaya.

Nazidi kujiuliza, hivi hii nchi inaelekea wapi? Maana Vipofu hawawezi kuongoza vipfu wenzao, wote wataishia shimoni!!

Inaelekea kuzimu. angalia muswada wa sheria ya katika, kweli a reasonable man can dare write such a thing!!!!!!!!!!!!!!!!!Unbelievable!!!!!!!!! KWELI- Same itamsamehe aliye wake na Makanya itamkanya aliye wake
 
WAkati maisha yanazidi kuwa mabovu au kama wasemavyo wenye hekima, kila kukicha heri jana kuliko leo, Watanzania wanazidi kunitatiza.

Ukiangalia vyama, badala ya kuangalia uwezekano wa kuweka sera zinazoinua maisha ya mtanzania, vyote vimejiunga na CCM pamoja na Sheikh mkuu kuiponda CHADEMA.

Wakati huo huo wabunge na mawaziri wanashindana na wananchi waliokata tamaa kukikimbilia kikombe cha Babu loliondo.

Huku nyuma Ikulu, JK bado anapokea ushauri wake mkuu toka kwa Sheikh Yahaya.

Nazidi kujiuliza, hivi hii nchi inaelekea wapi? Maana Vipofu hawawezi kuongoza vipfu wenzao, wote wataishia shimoni!!

kuna mtu alisema may 21, 2011 ni mwisho wa dunia.
 
Babu wa Loliondo ameoteshwa na Mungu kutoa tiba kama vile maaskofu walivyosema wakati wa uchaguzi kuwa Kikwete ndio chaguo la Mungu na watu wakaamini na kumchagua lakini baadae mambo yakabadilika zile changwe za kuwa chaguo la Mungu zikageuka chaguo la Shetani sasa kwa babu sijui mambo yataendeleaje tunasubiri tuone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom