WAkati maisha yanazidi kuwa mabovu au kama wasemavyo wenye hekima, kila kukicha heri jana kuliko leo, Watanzania wanazidi kunitatiza.
Ukiangalia vyama, badala ya kuangalia uwezekano wa kuweka sera zinazoinua maisha ya mtanzania, vyote vimejiunga na CCM pamoja na Sheikh mkuu kuiponda CHADEMA.
Wakati huo huo wabunge na mawaziri wanashindana na wananchi waliokata tamaa kukikimbilia kikombe cha Babu loliondo.
Huku nyuma Ikulu, JK bado anapokea ushauri wake mkuu toka kwa Sheikh Yahaya.
Nazidi kujiuliza, hivi hii nchi inaelekea wapi? Maana Vipofu hawawezi kuongoza vipfu wenzao, wote wataishia shimoni!!
Ukiangalia vyama, badala ya kuangalia uwezekano wa kuweka sera zinazoinua maisha ya mtanzania, vyote vimejiunga na CCM pamoja na Sheikh mkuu kuiponda CHADEMA.
Wakati huo huo wabunge na mawaziri wanashindana na wananchi waliokata tamaa kukikimbilia kikombe cha Babu loliondo.
Huku nyuma Ikulu, JK bado anapokea ushauri wake mkuu toka kwa Sheikh Yahaya.
Nazidi kujiuliza, hivi hii nchi inaelekea wapi? Maana Vipofu hawawezi kuongoza vipfu wenzao, wote wataishia shimoni!!